Haya yote yanasababishwa na MTU mmoja tu kujifanya anajua kila kitu na kutesa watu,fikilia mtu kama lisu kapigwa risasi mchana kweupe,ila yeye hataki hata watuwaende kumuona,bado yuko kwenye matibabu unamdhulum ubunge, Leo wanatutaka tuwe wazalendo hicho ni kitu kisichowezekana