Kwa watizama mbali, Bashe ni nani kwa sasa?

Kwa watizama mbali, Bashe ni nani kwa sasa?

samesame

Senior Member
Joined
Jul 21, 2019
Posts
143
Reaction score
324
Kwa wale wenzangu wasiotumia mihemko njooni tujadili kidogo mwelekeo wa siasa za kijana mwenzetu Bashe mbunge wa nzega na naibu wa waziri wa kilimo.

Wengi wanadhani bashe kaula baada ya press conference ya juzi pale alipoonekana kuwa upande wa musiba na kuwaponda akina Kinana.Binafsi nasema si kweli. Pale alikua anajitambulisha kwetu upande aliko kwa sasa. Siasa hazikosi makundi na kwa sasa kaingia kundi la mzee wa chato.

Je, kaingia lini?

Mwanzo kabisa wa kungia na pale rasmi Rostam Azizi alipoingia kwenye kambi ya mzee wa Chato na akamfanyia usajili wa kumleta Lowassa.

Kwanini nasema hivo ni kwa vile bashe ni kijana wa Rostam na Lowasaa. na kwa sasa anamtumikia Rostam Azizi. Mzee Lowasaa amekwisha zake analea wajukuu. Ila kwa Rostam Azizi ndio kwaaaaaanza anaanza rasmi siasa za bongo na kwa sasa sio yeye kuingia front bali kutumia vibaraka wake na Bashe katangulizwa wengi wataingia.

Kwanini vijana wake waingie katika baraza la mawaziri ni kwa vile sasa anaenda kufanya kazi na Serikali hivyo basi lazma awe na watu wa kuangalia maslahi yake ndani ya nyumba.

Rostam hajarudi Serikali kishamba ni kimkakati kati yake na mzee wa chato. kwa sasa ndiye partner wa mzee wa chato. wafanya biashara wakubwa pesa walizo nazo sio za kwao peke yao nyingi huwatunzia viongozi wa kisiasa.

Mtamkumbuka mzee wa msoga na Gsm Group! hivyo biashara nyingi zinazofunguliwa kwa sasa za Rostam sio zake mwenyewe. Yes hela anazo nyingi na ndio rahis kutunza hela nyingi toka kusiko julikana. Utajuaje kwamba sio zake? Akina sisi ukipewa tuu billion moja itajulikana tuu maana nilizoea hela za maandazi.

Hitimisho langu ni kwamba tumtarajie Bashite mpya naye ni Bashe mjenga hoja wa zamani na sasa atakua mpiga meza na mzee wa ndio. Ndio tushampoteza tayari.

Aaa nilisahau kidooogo. ile press conference alitumwa na hao hao Rostam na lowasaa akipewa baraka na mzee wa chato kulipiza walivyokuwa wanatukanwa na Nape enzi zile za mafisadi papa mapacha watatu.

Nape naye akiwa kijana wa mzee wa msoga na kinana. Huku Bashe akiwa mfanyakazi wa Rostam Azizi akiangalia tuu ila hakua na nguvu kufanya chochote sasa kapewa Rungu.

Yaan CCM ndio kwanza makundi yanaanza upyaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
 
Kwa wale wenzangu wasiotumia mihemko njooni tujadili kidogo mwelekeo wa siasa za kijana mwenzetu Bashe mbunge wa nzige na naibu wa waziri wa kilimo.

Wengi wanadhani bashe kaula baada ya press conference ya juzi pale alipoonekana kuwa upande wa musiba na kuwaponda akina Kinana.Binafsi nasema si kweli. Pale alikua anajitambulisha kwetu upande aliko kwa sasa. Siasa hazikosi makundi na kwa sasa kaingia kundi la mzee wa chato.

Je, kaingia lini?

Mwanzo kabisa wa kungia na pale rasmi Rostam Azizi alipoingia kwenye kambi ya mzee wa Chato na akamfanyia usajili wa kumleta Lowassa.

Kwanini nasema hivo ni kwa vile bashe ni kijana wa Rostam na Lowasaa. na kwa sasa anamtumikia Rostam Azizi. Mzee Lowasaa amekwisha zake analea wajukuu. Ila kwa Rostam Azizi ndio kwaaaaaanza anaanza rasmi siasa za bongo na kwa sasa sio yeye kuingia front bali kutumia vibaraka wake na Bashe katangulizwa wengi wataingia.

Kwanini vijana wake waingie katika baraza la mawaziri ni kwa vile sasa anaenda kufanya kazi na Serikali hivyo basi lazma awe na watu wa kuangalia maslahi yake ndani ya nyumba.

Rostam hajarudi Serikali kishamba ni kimkakati kati yake na mzee wa chato. kwa sasa ndiye partner wa mzee wa chato. wafanya biashara wakubwa pesa walizo nazo sio za kwao peke yao nyingi huwatunzia viongozi wa kisiasa.

Mtamkumbuka mzee wa msoga na Gsm Group! hivyo biashara nyingi zinazofunguliwa kwa sasa za Rostam sio zake mwenyewe. Yes hela anazo nyingi na ndio rahis kutunza hela nyingi toka kusiko julikana. Utajuaje kwamba sio zake? Akina sisi ukipewa tuu billion moja itajulikana tuu maana nilizoea hela za maandazi.

Hitimisho langu ni kwamba tumtarajie Bashite mpya naye ni Bashe mjenga hoja wa zamani na sasa atakua mpiga meza na mzee wa ndio. Ndio tushampoteza tayari.

Aaa nilisahau kidooogo. ile press conference alitumwa na hao hao Rostam na lowasaa akipewa baraka na mzee wa chato kulipiza walivyokuwa wanatukanwa na Nape enzi zile za mafisadi papa mapacha watatu.

Nape naye akiwa kijana wa mzee wa msoga na kinana. Huku Bashe akiwa mfanyakazi wa Rostam Azizi akiangalia tuu ila hakua na nguvu kufanya chochote sasa kapewa Rungu.

Yaan CCM ndio kwanza makundi yanaanza upyaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
Mbunge Wa nzige ndio naibu waziri Wa kilimo,si atakula mazao yote sasa. nzige zisikie tu.
 
CCM dawa yake nikuiondoa tu wakina nape na kinana, waliwaita Rostam and Lowasa mafisadi leo wanaitwa wao mafisadi, baada ya muda musiba na bashite wataitwa mafisadi.

CCM hakuna msafi.
 
Kwa wale wenzangu wasiotumia mihemko njooni tujadili kidogo mwelekeo wa siasa za kijana mwenzetu Bashe mbunge wa nzega na naibu wa waziri wa kilimo.

Wengi wanadhani bashe kaula baada ya press conference ya juzi pale alipoonekana kuwa upande wa musiba na kuwaponda akina Kinana.Binafsi nasema si kweli. Pale alikua anajitambulisha kwetu upande aliko kwa sasa. Siasa hazikosi makundi na kwa sasa kaingia kundi la mzee wa chato.

Je, kaingia lini?

Mwanzo kabisa wa kungia na pale rasmi Rostam Azizi alipoingia kwenye kambi ya mzee wa Chato na akamfanyia usajili wa kumleta Lowassa.

Kwanini nasema hivo ni kwa vile bashe ni kijana wa Rostam na Lowasaa. na kwa sasa anamtumikia Rostam Azizi. Mzee Lowasaa amekwisha zake analea wajukuu. Ila kwa Rostam Azizi ndio kwaaaaaanza anaanza rasmi siasa za bongo na kwa sasa sio yeye kuingia front bali kutumia vibaraka wake na Bashe katangulizwa wengi wataingia.

Kwanini vijana wake waingie katika baraza la mawaziri ni kwa vile sasa anaenda kufanya kazi na Serikali hivyo basi lazma awe na watu wa kuangalia maslahi yake ndani ya nyumba.

Rostam hajarudi Serikali kishamba ni kimkakati kati yake na mzee wa chato. kwa sasa ndiye partner wa mzee wa chato. wafanya biashara wakubwa pesa walizo nazo sio za kwao peke yao nyingi huwatunzia viongozi wa kisiasa.

Mtamkumbuka mzee wa msoga na Gsm Group! hivyo biashara nyingi zinazofunguliwa kwa sasa za Rostam sio zake mwenyewe. Yes hela anazo nyingi na ndio rahis kutunza hela nyingi toka kusiko julikana. Utajuaje kwamba sio zake? Akina sisi ukipewa tuu billion moja itajulikana tuu maana nilizoea hela za maandazi.

Hitimisho langu ni kwamba tumtarajie Bashite mpya naye ni Bashe mjenga hoja wa zamani na sasa atakua mpiga meza na mzee wa ndio. Ndio tushampoteza tayari.

Aaa nilisahau kidooogo. ile press conference alitumwa na hao hao Rostam na lowasaa akipewa baraka na mzee wa chato kulipiza walivyokuwa wanatukanwa na Nape enzi zile za mafisadi papa mapacha watatu.

Nape naye akiwa kijana wa mzee wa msoga na kinana. Huku Bashe akiwa mfanyakazi wa Rostam Azizi akiangalia tuu ila hakua na nguvu kufanya chochote sasa kapewa Rungu.

Yaan CCM ndio kwanza makundi yanaanza upyaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
Nikuongezee tu kwa mawazo yangu ni kwamba Bashe anapita tu hapo kwenye Unaibu, haitakuwa ajabu akiwa Waziri wa Fedha; fikra zangu tu za haraka haraka!!
 
Yah right ........... Bashe katoka mbali. Kutoka kuwekwa kolokoloni kwnye uchaguzi mkuu wa chama mpaka kuwa Naibu Waziri. Kama ataendelea na unyeyekevu, come 2020 ataukwaa Uwaziri!!
 
Nikuongezee tu kwa mawazo yangu ni kwamba Bashe anapita tu hapo kwenye Unaibu, haitakuwa ajabu akiwa Waziri wa Fedha; fikra zangu tu za haraka haraka!!
nakubaliana na ww. safari ndio imeanza.
 
Na.after 2020 atakuwa full minister,saizi anapewa kauzoefu tu kwa kipindi kilichobaki
 
Ni kweli Bashe ameingia team Lowassa/Rosta Mkulu. Team Kikwete sasa iko receiving end.Punch za under belt na kisogoni wanapokea wao sasa. Wazipokee ni zamu yao. Mkulu asingecheza kete hiyo team JMK wangemsumbua sana, lakini kwa game hii atacheza atakavyo. Kutesa kwa zamu.
 
CCM dawa yake nikuiondoa tu wakina nape na kinana, waliwaita Rostam and Lowasa mafisadi leo wanaitwa wao mafisadi, baada ya muda musiba na bashite wataitwa mafisadi.

CCM hakuna msafi.
Nasubiria huo mda ufike
 
Yah right ........... Bashe katoka mbali. Kutoka kuwekwa kolokoloni kwnye uchaguzi mkuu wa chama mpaka kuwa Naibu Waziri. Kama ataendelea na unyeyekevu, come 2020 ataukwaa Uwaziri!!
Pia alikua kwenye hit list ya wasiojulikana.
 
Bashe alikua kwenye hit list ya wasiojulikana.
Je jina lake limeondolewa sasa kwa kua amekua mpakwa mafuta wa jiwe?
 
Ni kweli Bashe ameingia team Lowassa/Rostakulu. Team Kikwete sasa iko receiving end.Punch za under belt na kisogoni wanapokea wao sasa. Wazipokee ni zamu yao. Mkulu asingecheza kete hiyo team JMK wangemsumbua sana, lakini kwa game hii atacheza atakavyo. Kutesa kwa zamu.
yes bila kufanya hivyo angekua na maadui wawili. kwa sasa kapunguza maadui. kaungana na kundi moja bila hivyo wangeungana wao angekwisha
 
Back
Top Bottom