Kuna house girl hapa lazima nioe kwa sababu anajua kupika, kulea watoto na pia ana heshima tofauti kabisa na haya mashakurunpepe ya mjini ambayo hayafai kabisa.
Hivyo nawashauri wanaume wenzangu waoe hawa viumbe maana wana sifa zote za mke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.