Tumia akili kuwaza vizuri ,mosi hivi unaweza kutupa idadi ya watu waliohuzuria na uwiano wa wananchi ya mtwara kwa ujumla ?
Pili je population ya watanzania wengi masikini wa kutupwa wanapatikana wengi mijini au vijijinii??
Tatu je chama chenu na serikali yake wanajiita watu wanaotetea...
Hapa yenyewe nakinyonya ukank kitu kidogo tuu unajisikia fresh kabisa..Hii kitu ni dawa kubwa sana ,Mimi kijijini kwetu ni daya ya kukausha vidonga maji yake ikiwa mbichi
Mkuu unaweza tusaidia kujua hayo maswali ili tuone jinsi alivyokufanyia ndivyo sivyo na kwa ajili ya kujifunza pia ?please you can share with us if you won't mind ,let's care for each other and we can start by sharing !Asante
Hii noma ishanikuta tumeenda kufanya final interview tupo watano na nafasi zilizokuwa zinagombaniwa niliambiwa ni hizo hizo 5 ,sema mimi nikawaambia sitoweza kwa mshahara wao ,cha ajabu hadi wale jamaa wengine nao hawakuitwa hadi Leo tangia sijui mwezi wa 3 ule [emoji848] sasa nawaza kama...
Haha nakumbuka mwaka mmoja tulipiga deal moja hivi ikakosewa kidogo ,tukajikuta wazee wametuzuia ,aisee hiyo ndio ilikiwa mara yangu ya kwanza ,afu tulikuwa bado kwenye mizunguko ya job ,huku boss anapiga cm kama zote nikasema kuliko kulala ndanii pananuka mikojo na pana unyevu unyevu kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.