Recent content by Kikomelo

  1. K

    Mada Maalum kwa Wahasibu, Wakaguzi wa Mahesabu na Wataalam wa Kodi

    Aisee wameipeleka mbali kweli! Nakumbuka wakati bado naisaka miaka ya 2010 wakati napiga review class pale DIT kwa Msasira; siku ya graduation tulikuwa tunaenda kuwaangalia waliovaa majoo! Ilikuwa inatupa hasira na kututia moyo pia kuwa yote yanawezekana. Ilikuwa ni sehemu ya motivation! Sasa...
  2. K

    Tusaidiane: Mwenye GPA 2.7

    Wako wengi tu. We kapigane ufaulu vizuri.
  3. K

    Tusaidiane: Mwenye GPA 2.7

    Mtu kwenye somo fulani kapata C, alafu amzidi mtu mwenye A kwenye kulielewa hilo somo? Huo ni muujiza mkuu. Labda akijibu maswali ya tell us about yourself na siyo ya taaluma! Never on earth, labda kama mwmenye A alipewa bure! Gpa kubwa means aliscore vizuri! Mpaka muujiza utokee au hizo gpa...
  4. K

    Tusaidiane: Mwenye GPA 2.7

    Sasa mtu mwenye gpa ya 2.0 atakuwaje vizuri kichwani? Yaani anakuwa hajui hata kujielezea ukamuelewa! Tusidanganyane, gpa ni kipimo kizuri cha mtu anayeelewa vitu! Mtu hawezi nidanganya eti kwa kuelewa ana mzidi mtu mwenye gpa ya 3.8! Haiwezekani! Vijana mlioko mashuleni someni, kazi zimekuwa...
  5. K

    Job Opportunities - At Saint Augustine University of Tanzania

    Kila la kheri mkuu, Mungu akutangulie
  6. K

    Job Opportunities - At Saint Augustine University of Tanzania

    Hizo kazi zote ni za watu wenye Ph. D!
  7. K

    Mahusiano na mume wa mtu ni shughuli pevu

    Ujue kuna kitu sijakielewa hapa, na ninadhani na nyinyi wanawake hamkielewi! Kukaa na mumeo kwenye nyumba nzuri na watoto hapo hapo wakati akitaka kutuliza moyo, mtu wa kucheka naye, mtu wa kumpa furaha si wewe mke wake ni mchepuko ina maana gani? Mchepuko hasikudanganye mtu, ata kama...
  8. K

    Nafasi ya kazi, mwenye kuguswa tuwasiliane

    Watu wenye ishu za msingi, hawapotez muda kwa kuandika mambo haya! Sasa unapowatukana waliokataliwa na baba zao na kulelewa na mama zao, unataka tukueleweje? Kuna maneno mengine mnayatumia lakin yanaumiza wengine! Mi nadhan jitahidi kuwa mtu wa busara na si kutafuta umaharufu uchwara humu JF!
  9. K

    Nina ndoto zakufundisha chuo kikuu,naombeni msaada.

    Kimsingi sheria inamtaka muhadhiri wa chuo kikuu / chuo cha elimu ya juu kuwa na GPA ambayo si chini ya 3.5 kwenye degree ya kwanza. Kwa maana hiyo hata hivyo vya CBE, IFM, TIA huwezi kuingia kama hauna 3.5! tena kwa sehemu kama CBE, kwa sasa huwezi kupewa part time kama hauna GPA ya 3.8 kwenye...
  10. K

    GPA yako ndo itakupa ajira

    Kwa akili yenu ilivyo, hata akisoma na kuelewa na kupata GPA kubwa basi nyinyi mtasema alimeza! Mi naona mnachokifanya ni kutetea hizo GPA zenu ndogo! Nani aliwaambia mtu mwenye GPA kubwa hajui kazi mwenye pass ndo anaweza kazi? Mnajifariji tu, angalieni mambo kwa uhalisia wake! Kama aliweza...
  11. K

    Unaweza Lipwa Mshahara Wa sh/ Mil 1.5 Serekalini?

    GPA kama nzuri fresh from school unaomba kuwa tutorial assistant kwenye vyuo vya umma na unaanza na zaidi ya hiyo 1.5! cku ukiongeza na masters basi unakula zaidi ya 2.2! vyuo vya umma vinalipa vizuri sana
  12. K

    Mwalimu gani mkali ushawahi kukutana nae katika maisha yako ya shule...!!!??

    Nestory Kaimukilwa a.k.a Sura mbaya wa kitendaguro! we hacha tu! alikuwa Rwamishenye Primary school (Kashabo)!
  13. K

    Why not us called PCCB for interview?????

    Kuna watoto humu Jf, basi tu Mungu awasaidie! ujinga na kiburi vimewajaa! kama umekosea unakubari yanaisha! humu ndani hata mbumbu anajifanya anajua! ndo tz lakini...!
  14. K

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Wao hawajafunga mwezi mtukufu
  15. K

    Utumishi mnaita Interview watu 1045 kwa nafasi 5?

    Nyani naye ana akili japo kuwa haelewi calculus, hatuwezi kusema calculus ndo yenye matatizo (haieleweki) bali akili ya nyani ni ndogo kuelewa calculus..............!!!!!!! Ha ha ha ha!:nod::nod::nod::nod:
Back
Top Bottom