Tupo!
Niliwahi kupata ushauri wa hii biashara mwaka jana, nikashawishika kuifungua. Inahitaji usimamizi wa karibu kwani mauzo yake ni kudunduliza eg photocopying.
Niliifungua Nganza (nadhani upo Mwanza) jirani na Kanisa Katoliki. Niliifanya kwa miezi mitatu nikiwa na imonitor kwa karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.