Mkuu siku uendeshe barabara ya mbagala kwenda chamazi huko ni kama uwanja wa vita vijana hawasikii sio bajaji sio boda sio magari yaani ni tabu. Halafu wanaovertake kulia na kushoto wewe katikati.
Kwa mke na mume haiwi 50/50 ni kusaidiana. Yeyote mwenye pesa anatoa kulipia bills ai jambo lolote. Shida ni ukianza kuhesabu hii pesa yangu siwezi kulipia na mume yupo hapo ni ubinafsi unaanza.
Kwa Girlfriend siwezi kutoa hela kuhudumia kwa kipi sasa anachochangia? Mke najua anatunza watoto na...
Vuta pumzi uinuke tena champion hakuna kushindwa. Uzuri wewe ni mzoefu n ulishakamata pesa kama uliposema hapo ulishawahi kuwa na daladala 3. Utainuka tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.