Recent content by kikiboxer

  1. kikiboxer

    Financial Education, hata Mabenki hawataki mteja aipate

    mkuu usijidanganye kwamba insurance italipa mkopo wako endpo uta default no, ni pale ukishindwa kulipa mkopo tokana na matukio ya aidha umepata kilema au umekufa. Lakini kama una dunda mtaani mali itauzwa tu.
  2. kikiboxer

    Mtazamo wangu: Arsenal atamaliza bila taji msimu wa 2023/24

    haya njoo hapa ujitetee fala ww. kazi kutukana watu choko baba yako mzazi
  3. kikiboxer

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    dogo acha siasa watu wanapigana vita kushinda haijalishi kanuni. mara kadhaa hapa Russia anatishia kutumia nuclear naye hajui kanuni?
  4. kikiboxer

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    huo ni utaratibu wake hajachaguliwa na mtu pakupiga. Israel nae akijibu kwenye majengo asilaumiwe
  5. kikiboxer

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Ngoja tuone hii vita badae tusije kusikia Israel anaua watoto na wanawake. Uzuri bado tupo.
  6. kikiboxer

    Ulitumia kiasi gani cha fedha ama umepanga kutumia kiasi gani cha fedha kugharamia harusi yako?

    mkuu nipe A,B,C za kudhibiti wanakamati kama C.A.G natarajia kufanya hii shughuli siku sio nyingi.
  7. kikiboxer

    Ulitumia kiasi gani cha fedha ama umepanga kutumia kiasi gani cha fedha kugharamia harusi yako?

    mkuu wana kamati wanapigaje kama hutojali unisaniue mapema ninatarajia mwezi wa sita kubariki ndoa.
  8. kikiboxer

    Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

    kaanzisha kanisa lake? kwa sikuhizi kanisa ni investment km investment zingine. Inawezekana kaona fursa itayomlipa baadae. Kuhusu hilo la mumewe huyo dada aseme ukweli aache kusingizia hiyo kazi ya kanisa.
  9. kikiboxer

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    wake up mkuu badirika li timu litakupa pressure hili. Mimi sikuhizi hata sina time. kocha huyu tumepigwa hakuna kitu
  10. kikiboxer

    Car4Sale Basi linauzwa bei nafuu sana

    sasa kama shida inakuja kwny kodi unadhani kwanini tunakubishia? utaliendeshea Japan? are you insane?
  11. kikiboxer

    Car4Sale Basi linauzwa bei nafuu sana

    Coaster showroom hupati kwa bei hiyom
  12. kikiboxer

    Kampuni ya basi Sauli zinaadimika barabarani shida nini?

    DR nadhani ni namba za mwaka 2019.
  13. kikiboxer

    Msemaji wa Tabora United amvaa Jemedari Saidi

    huyo msemaji ndio mpumbavu badala ya kuja na maelezo klabu yake haina hali mbaya analeta vitisho. Kimsingi alitakiwa ampinge Jemedari kama alisema uongo.
  14. kikiboxer

    Watu kwenda kwa Waganga wanapoibiwa badala ya kwenda polisi imeshakuwa kawaida Uswahilini

    watu wanaenda kwa waganga sababu polisi hawana msaada zaidi watakula tena hela yako. Nilishawahi kuibiwa vifaa vya gari garage nikakimbilia polisi picha linaanza ili wawakamate watuhumiwa wanataka utoe hela. Ilinitoka kama laki na kitu hivi na vitu vyangu sijapata ikabidi ninunue tu (680k)...
Back
Top Bottom