Recent content by kikiboxer

  1. kikiboxer

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Humu bila City Thunder OKC uzi hautembei. Wengine wote ni porojo na ubishi tu.
  2. kikiboxer

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Leo kweli kobazi mmetembeza kichapo hivo ndio inatakiwa sio kila siku Mayahudi wanawatembezea nyie tu. Sasa subirini majibu ya muyahudi msikimbie uzi.
  3. kikiboxer

    Lengo la Iran ni kuifuta Israel, Wayahudi wenyewe nusu yao wapo Iran kama wapelelezi

    Kwenye ile october hesabu zilipigwa vibaya Israel nae kaona amalizie alichokianza.
  4. kikiboxer

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Daah nyie mayahudi punguzeni dozi. Moto mnaowapelekea ni mkubwa mno.
  5. kikiboxer

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kuna ID naona sizioni humu ndani zimeshaanza kujificha. Ndugu zangu tuendelee kuwepo humu Mayahudi bado hawajamaliza bado kuna suprise nyingi😄
  6. kikiboxer

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hivi mkuu hili jeshi la Basji ni kitengo au ni nini hapo Tehran?
  7. kikiboxer

    Mahakama ya Rufani Tanzania imemuachia huru Deo Kisandu (Civilian Coin) mwanasiasa aliyeacha Siasa

    Mzee wa go away. Mwambie Deo atutumie hii ngoma yake ilikuwa hit sana enzi zile.
  8. kikiboxer

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Lete wewe zenye uhakika utashabikiwa na makobazi. Jf ni huru hakuna aliyefungwa kuleta habari hapa acha ujinga.
  9. kikiboxer

    Iran yatoa amri ya wakazi wa Telaviv kuhama

    Mkuu vipi kuhusu Netanyahu mnazika lini? @kimsboy😄
  10. kikiboxer

    Tetesi za kuuliwa Netanyahu zazidi kushika kasi

    Duh kumbe Jf bado kuna mazuzu?
  11. kikiboxer

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Dogo acha kujipa matumaini hewa. Shtuka usingizini Netanyahu bado yupo na wakati huu amewapania sana kazi kwenu.
Back
Top Bottom