Recent content by kikiboxer

  1. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania "Ema The Boy" komalia hapo hapo. Hakuna kung'atuka, Waswahili wasituvurugie nchi yetu

    Usiwaanini sana CCM wanaweza kufanya lolote ili kuendelea kula kodi zetu.
  2. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Katiba ya CHADEMA ikifuatwa vizuri Lissu, Heche na Mnyika wanakosa uhalali wa kisheria kuendelea kuwa viongozi

    Wewe ndio Great thinker wa hapo Lumumba. Takataka kabisa.
  3. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Vita kati ya Urusi na Ukraine imechukua miaka zaidi ya minne sababu ni hizi...

    Sasa kama ana washirika hao wawili maana yake hana washirika wanaoweza kumsupport waziwazi. Warusi kwa sasa ndio wanaanza kuonja ladha ya vita vyao walivyoanzisha Ukraine
  4. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Vita kati ya Urusi na Ukraine imechukua miaka zaidi ya minne sababu ni hizi...

    Sasa huyo mleta uzi anajifanya hajui hilo. Na usidhani walimpa wanajeshi peke yake bila silaha.
  5. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Vita kati ya Urusi na Ukraine imechukua miaka zaidi ya minne sababu ni hizi...

    Kwani urusi yeye hapokei misaada? Si alichukua askari wa North Korea?
  6. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Ila wadada mmh, ni wachafu sana

    Umepigwa kizembe sana 500k yako.
  7. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Ukweli Humuweka Mtu Huru: Nimechoka Kujiuza, Nimechoka.

    Bado hujachelewa.
  8. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Ukweli Humuweka Mtu Huru: Nimechoka Kujiuza, Nimechoka.

    Bado hujachelewa.
  9. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa bajeti ya laki 7 naweza pata gari gani hata kama kuu kuu

    Coco unatumia Ai?
  10. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Hili suala la wanawake kusaka hela ya mchezo ya kuchangishana ni Tatizo sana

    Ikishafika jioni ni usumbufu tu mara nitumie 50k nadaiwa. Sasa unajiuliza huyu madeni yake yote huwa mida ya jioni kumbe ni mchezo. Kuna single mama moja namaliza kibingwa sababu ya hela za mchezo.
  11. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Is it worth it kununua Brevis milioni 6 na kuigeuza kutumia mfumo wa gesi kwa mizunguko ya town ?

    Halafu hii engine ya 1G itamstiri sana maana ni vumilivu.
  12. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Kuzuru kwa Rais Samia Kremlin, kubadili Siasa, vyama vya siasa, Uchumi, Ulinzi na Usalama

    Mkuu huyu hata siku akirudi CHADEMA msimpokee kabisa.
  13. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Humu watu wanahamu sana ya kunfasex

    Duuh sijaelewa chochote. Nini hasa point yako?
  14. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Nchi imeshaenda Kombo: Ninachoamini Nchimbi ni Smart Guy hamtoweza kumsikia akiingia kwenye mjadala wowote

    Dogo una mipasho kama mwanamke wa uswahilini. Huwezi kuongea hoja zako bila mipasho hii inaonesha uduni wa akili.
Back
Top Bottom