Recent content by kikiboxer

  1. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Kuzuru kwa Rais Samia Kremlin, kubadili Siasa, vyama vya siasa, Uchumi, Ulinzi na Usalama

    Mkuu huyu hata siku akirudi CHADEMA msimpokee kabisa.
  2. kikiboxer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Humu watu wanahamu sana ya kunfasex

    Duuh sijaelewa chochote. Nini hasa point yako?
  3. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Nchi imeshaenda Kombo: Ninachoamini Nchimbi ni Smart Guy hamtoweza kumsikia akiingia kwenye mjadala wowote

    Dogo una mipasho kama mwanamke wa uswahilini. Huwezi kuongea hoja zako bila mipasho hii inaonesha uduni wa akili.
  4. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Kile kikao kilichopindisha utaratibu wa chama kumbe ni "Yuda" alijipanga, akashtukiwa na kupewa cha namba 2 ili kummaliza kabisa

    Hujaona swali uliloulizwa au huwa unajibu bila kusoma?
  5. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Kile kikao kilichopindisha utaratibu wa chama kumbe ni "Yuda" alijipanga, akashtukiwa na kupewa cha namba 2 ili kummaliza kabisa

    Dogo jibu hoja sio unaishia kutukana. Unakuwa na kisirani kama mwanamke mwenye mimba.
  6. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Historia ya Rais Samia iwekwe Katika Somo La Historia kwa Shule zote za Msingi na Sekondari Ili Kutoa Hamasa kwa Watoto wa Kike Kupenda Shule

    Sasa kwa Elimu gani aliyonayo mpaka awekwe kwenye historia!? Kuna mtu ana kuona we ni baba unaongoza familia kichwa maji wewe.!
  7. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa sheria: Je, ni kosa kupandisha bendera ya taifa nyumbani kwako?

    Tupe kifungu kinachotoa hilo kosa la kupandisha bendera mwanasheria mkuu wa serikali.
  8. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Mojtaba: Jeshi pekee halitoshi kuifanya Iran iwe na Nguvu. Ataka watu waongeze kasi ya Kuzaa

    Ameshaonekana au bado kajichimbia shimoni kama panya?
  9. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Nanunua laptop mbovu kama spare bei maelewano

    Nina lenovo Min tatizo keyboard haifanyi kazi na betri haikai. Nitakucheki on monday.
  10. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Kuendesha Gari Jijini Dar Kumeanza Kuwa Changamoto Kwangu

    Mkuu siku uendeshe barabara ya mbagala kwenda chamazi huko ni kama uwanja wa vita vijana hawasikii sio bajaji sio boda sio magari yaani ni tabu. Halafu wanaovertake kulia na kushoto wewe katikati.
  11. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu aliyedaiwa kukamatwa amerejea akiwa na pingu; nini kilimtokea?

    Kuna taratibu za kumkamata mtu. Je zilifuatwa?
  12. kikiboxer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo ya 50/50 binafsi mnitoe siyatakiiii

    Kwa mke na mume haiwi 50/50 ni kusaidiana. Yeyote mwenye pesa anatoa kulipia bills ai jambo lolote. Shida ni ukianza kuhesabu hii pesa yangu siwezi kulipia na mume yupo hapo ni ubinafsi unaanza. Kwa Girlfriend siwezi kutoa hela kuhudumia kwa kipi sasa anachochangia? Mke najua anatunza watoto na...
  13. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Nimekubali nimefilisika, kwa sasa natuliza ubongo

    Vuta pumzi uinuke tena champion hakuna kushindwa. Uzuri wewe ni mzoefu n ulishakamata pesa kama uliposema hapo ulishawahi kuwa na daladala 3. Utainuka tena
  14. kikiboxer

    JamiiForums Tanzania Kwa nyomi hii, hata mimi lazima nitishie kukifuta ili bosi aone nafanya kazi

    Inashangaza sana mkuu. Yaani watawala wanaona wananchi kama kero kwao wakati hao ndio wanawatumia kulipa kodi ambazo ndio chanzo cha mapato yao.
Back
Top Bottom