Nimerudi tena mwanakijiji, mbuga zangu kuzinyatia
Siwahukumu wa magharibi, hata wale wa ghuba,
kukicha mitutu wanaikoki, wanyama wangu kuwaua,
Sheria ni kwa sisimizi, kwa tembo eti huzikwa,
Nasema haiingiii akilini, waporaji kupewa mbuga,
Tanzania umekosa vingi, hata mapori unawekeza?
Mwisho...