Katika hali inayoibua hisia za uchonganishi, Mkuu wa wilaya ya Rombo Bwana Elius Palangyo, amewaagiza viongozi na makada wa ccm kuzishusha bendera zote za Chadema zilizoko juu ya miti kila eneo la wilaya ya Rombo, alipo hojiwa kwa nini ametoa agizo hilo akajibu bendera zinatakiwa zitundikwe...
Leo wakati kikwete anaongea na wazee wa ccm mkoa wadodoma amezungumzia mengi na kwa muda mrefu, ila kilichonishangaza na kunichekesha ni pale kikwete alipomaliza kuhutubia, akaitwa balozi wa miaka tisatisatisa lusinde ambae pia ni Mwenyekiti wa wazee vilaza hao wa Dodoma, ndipo TBC ikahamisha...
Jamaa mmoja kwa jina limenitoka kidogo mkazi wa kata ya holili custom wilaya ya rombo ambae asili yake ni kutoka Lindi, ame m baka mmbwa hadi mbwa huyo akafa, jamaa huyo alikutwa na majirani akiwa amevaa condom huku dushe lake likiwa limezama uchini mwa mbwa huyo, akaripotiwa kituo cha holili...
Wananchi wa Rombo Ushiri ngome ya aliyekuwa waziri wa fedha Basil Pesambili Mramba wameizika rasmi CCM kwa vitendo. Wamesema wamechoshwa na chama cha mapanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.