Duh! Kumbe mimi ni choka mbaya, wewe jamaa umeanza kuchanganyikiwa 🤣🤣🤣🤣. Kama unaamini mo alikua anafaidika kuidhamini simba late 90s na early 2000s basi wewe una matatizo. Kuita watu wajinga hakukufanyi uwe mwerevu.
Mentality ya kimasikini ni kudhani kushabikia timu za nje ndio ujanja. Simba na yanga ni timu zenye mashabiki wengi sana ambao wanatoka kwenye makundi mbalimbali ya kijamii.
Kama ni research basi umefeli maana sampling yako iko biased. Umechukua kundi la hohehahe kudraw conclusion yako. Watu...
Mnamsingizia tuu huyo mwanasheria, Hersi alishazungumzia hivi vitu. Mchezaji ana madai halali na anaenda FIFA ili kukazia kulipwa. Hapo ni ishu ya yanga kulipa ambapo Hersi anasema lazima watalipa tuu hata kama ni kwa kuchelewa.
Nyie mlitaka mwanasheria akatae kwamba timu haidaiwi? atoe hela...
Mkuu, Mwanzo bajaj hazikuruhusiwa main road na mambo yalikua poa lakini sasa zimeruhusiwa ni vurugu tuu. Kuna routes nyingi sana ambazo hazihusishi main road. Tanzam road ziachiwe daladala pekee. Uwepo wa bajaj hizi 👇 route hauna afya
1- kabwe -iyunga
2- kabwe- mjini
3-kabwe- Uyole
Mbeya ni...
Upo sahihi sana mkuu. Niligundua kwa aina ya madiwani tunaochagua ni ngumu sana kuendelea, wana exposure ndogo sana. NHC walitaka wajenge mall pale lilipokua soko la uhindini lakini mradi ulikwamishwa na madiwani eti wanawalinda wajasiriamali wadogo. Wanawaza kujenga fremu tuu, pale city park...
Shida ya Mbeya ni unplanned lakini kuzidiwa na hizo manispaa 2 bado sana. Iringa ni pazuri na napapenda, majengo yao makubwa yapo sehemu moja na panapendeza. Mbeya maghorofa yake yapo scattered, hawajengi eneo moja lakini kwa idadi ni mengi kuliko Iringa. Iringa kuna vyuo vikubwa 3 Rucu...
Mapungufu ya jana yanavyojadiliwa ni kama vile hakukua na kitu chochote positive. Ratiba ilionyesha mechi inaanza saa 2:30. Lazima watu wangetoka usiku tuu.
Mi mpaka leo siamini kama mbeya kuna ofisi ya mipango miji. Kama ipo ni kazi gani wanafanya kama mitaa mipya iko vibaya kuliko ile ya 90s kurudi nyuma. Katikati ya mji unaweka barabara ya changarawe 🤣🤣🤣🤣. Ni kama uongozi umelala fofofo, na hauna mpango wa kuamka hivi karibuni.
Technical school zilikua na maana sana before 2000. Mama sitta alipoanza kuzifuta 2006 zikapoteza maana kabisa, tuliosoma kuanzia 2006 ni kama tulipoteza muda tuu. Bila kubadilisha mitaala na kuiwekea mkazo hiyo elimu itakua haina maana.
Average height ya watanzania ni futi 5 inch 5. Halafu wewe unatafuta msichana wa futi 6, utakua na matatizo sio bure. Hata huko Rwanda average height haizidi futi 5 inch 7. Warefu wachache unaowaona kwenye tv na social media wasikuchanganye, sisi ni wafupi kiasili
Mi naona zamani vyuo vilikua vichache sana so watu wengi wakifaulu ilikua ni hatari kwa wizara, itawapeleka wapi?. So walikua na idadi fulani ya watu wanaotakiwa kufaulu ili wasije kuzidi idadi ya vyuo vilivyopo nchini. Walikua wanastandardize matokeo.
Siku hizi vyuo ni vingi sana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.