Kuna kundi lolote whtsap au telegram la wamiliki wa Honda crossroad tupeane tips kidogo
Nimeichukua week ya pili sasa mtambo unabalaa sana kila Unapopita wadau lazima wageuke
Sasa nataka kujua chimbo za mafundi wazur wa honda pamoja na spair
Naomba kwenda moja kwa moja kwenye mada nataka kuanza hii biashara naomba mniambie upatikanaji wa mashine ya kukamulia miwa, soko la miwa linapatikana wap hapa dar es salaam pia changamoto ya hii biashara ni ipi ,,, pia kama una input yoyote naomba unishirikishe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.