Recent content by kijazi07

  1. kijazi07

    Njia nyepesi kwa CHADEMA ni kuomba radhi Watanzania, nothing else

    Dahh sijajua unatumia nn kufikiria,,, naionea huruma jamii inayokutegemea
  2. kijazi07

    Naomba kujuzwa uimara na ubora wa Honda Crossroad

    Naomba niadd kaka mkubwa nakuja inbox
  3. kijazi07

    Naomba kujuzwa uimara na ubora wa Honda Crossroad

    Kuna kundi lolote whtsap au telegram la wamiliki wa Honda crossroad tupeane tips kidogo Nimeichukua week ya pili sasa mtambo unabalaa sana kila Unapopita wadau lazima wageuke Sasa nataka kujua chimbo za mafundi wazur wa honda pamoja na spair
  4. kijazi07

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kipigo cha jana sio cha kawaida 😂😂
  5. kijazi07

    Biashara ya juice ya miwa

    Naomba ufafanue zaidi plz
  6. kijazi07

    Biashara ya juice ya miwa

    Sinachakulipia
  7. kijazi07

    Biashara ya juice ya miwa

    Naomba kwenda moja kwa moja kwenye mada nataka kuanza hii biashara naomba mniambie upatikanaji wa mashine ya kukamulia miwa, soko la miwa linapatikana wap hapa dar es salaam pia changamoto ya hii biashara ni ipi ,,, pia kama una input yoyote naomba unishirikishe
Back
Top Bottom