Bro ukubwa wa maisha nivile ww unavyotaka kuisha ukitaka kuishk kufazali kipindi unatafuta apo ndio shida inapo azia Mbona ata bongo zipo nyumba za bei iyo ila kwhyo tukimbie napo bongo acha kutisha watu brother acha watu wakatafuta maish nch yoyote garama kila sehem zpo ila ww ndio utachagua...
Bro kam mungu amekupa shukuru kwa imani yko ila usisem watu wazembe kuna watu wanapamban sna.so kufanikiwa sio ujanja wko pia sio kwamba wew ukifanya sna kazi ila time yko ilikuwa imefika we mshukuru mungu kwa apo ulipo usione wasio fanikiwa ni wazembe bro unakosema
Hizo sio tabia zao na wazalamo nao utasemaje ila lengo sio kusema kabila za watu au kuziongelea vibya Kama ulikutana na shida iyo sehemu ni wewe alfu usipend kitu unacho kichukia yeye ukafanya kila mtu akichukie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.