Kwasababu tumewapatia sana ukubwa kuliko sisi tunaowalipa mishahara. Imagine Mtanzania ana sauti nje ya nchi kuliko nchini kwake. Katika nchi zinazojua haki za wananchi huwezi kuona Rais ama Mkuu wa Mkoa hata waziri anawambia Polisi wamchukulie mtu hatua sababu idara ya Sheria ama Ofisi ya...
Hivi siku hizi Tangu waingie madarakani kuna Uhuru kweli wa maoni?
Maana ukiisema Serikali Mama Mkwe naye anakuja na vijembe, huku Mkwe nae anakuja na maelekezo usisahau kuna Swaiba wa Mama anaitwa Baba Keagan nae anakuja na ngonjera zake.
Watu tukisema Katiba mpya ni muhimu ili kurudisha...
Ngosha hivi huwezi kuwapeleka hawa Ithibati Mahakamani kwa kukunyima haki yako ya kutoa maoni? sababu kabla ya kuwa Mwandishi wa Habari wewe ni raia wa Tanzania mwenye haki ya kutoa maoni yako
unalindwa na
Ibara ya 18 kifungu cha 1 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977...
Duh hili kaburi limefukuliwa, tutaona mengi sana. Tatizo la Mayalla alikua anawaamini sana hawa watu wakati wa Msukuma mwenzake. Huyu Mwigulu ni Tapeli kama kina Nape tu
Ndugu Mwigulu Nchemba kuvaa skafu za bendera ya Taifa si kwamba unaipenda nchi yako ama Mzalendo. Kama kweli unaipenda nchi yako basi ungepigania haki na uhuru wa watu wa kutoa maoni yao. Yaani msukuma Pascal Mayalla katoa maoni kama Mtanzania wewe unatumia vyombo vya serikali kukandamiza...
Singing in the rain forest. Charlie Simpson & The San Bush People "Namibia"
https://www.youtube.com/watch?v=cjRlOKF-JFw&list=RDcjRlOKF-JFw&start_radio=1
Kwa kawaida inategemea na jimbo na nchi Padre anakotoka. Mapadre wa Shirika la Ma Jesuit unatakiwa kuwa na Masters Degree kabla ya kuwa padre. Ni jambo la kawaida kwa Wajesuiti kuwa na angalau shahada mbili za uzamili katika theolojia na Shahada ya Uzamili au Uzamivu katika fani nyingine hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.