Recent content by Kijana wa Ifoza

  1. K

    Hivi Tanzania kwasasa kweli kuna uhuru wa maoni (Freedom of Speech)?

    Kwasababu tumewapatia sana ukubwa kuliko sisi tunaowalipa mishahara. Imagine Mtanzania ana sauti nje ya nchi kuliko nchini kwake. Katika nchi zinazojua haki za wananchi huwezi kuona Rais ama Mkuu wa Mkoa hata waziri anawambia Polisi wamchukulie mtu hatua sababu idara ya Sheria ama Ofisi ya...
  2. K

    Hivi Tanzania kwasasa kweli kuna uhuru wa maoni (Freedom of Speech)?

    Mimi na wewe tushirikiane basi kupiga kelele mambo yabadilike maana wameanza kumtisha Dudubaya
  3. K

    Hivi Tanzania kwasasa kweli kuna uhuru wa maoni (Freedom of Speech)?

    Hivi siku hizi Tangu waingie madarakani kuna Uhuru kweli wa maoni? Maana ukiisema Serikali Mama Mkwe naye anakuja na vijembe, huku Mkwe nae anakuja na maelekezo usisahau kuna Swaiba wa Mama anaitwa Baba Keagan nae anakuja na ngonjera zake. Watu tukisema Katiba mpya ni muhimu ili kurudisha...
  4. K

    Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

    Ngosha hivi huwezi kuwapeleka hawa Ithibati Mahakamani kwa kukunyima haki yako ya kutoa maoni? sababu kabla ya kuwa Mwandishi wa Habari wewe ni raia wa Tanzania mwenye haki ya kutoa maoni yako unalindwa na Ibara ya 18 kifungu cha 1 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977...
  5. K

    Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

    Duh hili kaburi limefukuliwa, tutaona mengi sana. Tatizo la Mayalla alikua anawaamini sana hawa watu wakati wa Msukuma mwenzake. Huyu Mwigulu ni Tapeli kama kina Nape tu
  6. K

    Mayalla Paskali Vs Mwigulu Nchemba; Uhuru wa kutoa maoni

    Ndugu Mwigulu Nchemba kuvaa skafu za bendera ya Taifa si kwamba unaipenda nchi yako ama Mzalendo. Kama kweli unaipenda nchi yako basi ungepigania haki na uhuru wa watu wa kutoa maoni yao. Yaani msukuma Pascal Mayalla katoa maoni kama Mtanzania wewe unatumia vyombo vya serikali kukandamiza...
  7. K

    ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

    Singing in the rain forest. Charlie Simpson & The San Bush People "Namibia" https://www.youtube.com/watch?v=cjRlOKF-JFw&list=RDcjRlOKF-JFw&start_radio=1
  8. K

    ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

    Mzimbabwe/Angola/Mkongo na kiswahili murua
  9. K

    ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

    Eddie Sheggy hakuwahi kuhamia Bantu Group hizo nyimbo ziliimbwa na Muumini Mwinyijuma, Ally Choki na Musemba wa Minyungu
  10. K

    PostGE2025 Kuna mpasuko mkubwa wa kidini unanukia Tanzania. Chanzo ni wanasiasa!

    Nafasi zimejaa subiri mwakani safari hii ni kwa familia kwanza
  11. K

    PostGE2025 Kuna mpasuko mkubwa wa kidini unanukia Tanzania. Chanzo ni wanasiasa!

    Kuna Masheikh Ubwabwa na Wachungaji Ubwabwa kina Mwamposa
  12. K

    Ukisikia Lugha Gongana ndiyo hii. Maasofu wanasema lao na Masheikh wa BAKWATA wanasema lao

    Kwa kawaida inategemea na jimbo na nchi Padre anakotoka. Mapadre wa Shirika la Ma Jesuit unatakiwa kuwa na Masters Degree kabla ya kuwa padre. Ni jambo la kawaida kwa Wajesuiti kuwa na angalau shahada mbili za uzamili katika theolojia na Shahada ya Uzamili au Uzamivu katika fani nyingine hasa...
  13. K

    Mwijaku kasema hawa watu wazuri

    Je Mwijaku anatakiwa kutembelewa na kumjulia hali tarehe 9 December?
  14. K

    Nimeiona hii kwenye Instagram jamaa anamjibu Irene Kilango

    Huyu binti anaitwa Irene Kilango ni mwandishi wa habari ila kaandika kichawa zaidi akiwalaumu Gn Z wenzake soma hizo screenshot attached
Back
Top Bottom