[emoji1][emoji1]Wakuu Username haihusiani kabisa na maisha yangu ni jina tu niliamua niliandike msiwe na wasiwasi kwanza apa nilipo nmelala chini na kila kitu kimo ndani ya chumba kimoja kama store kibachela zaidi
Habarini za jioni ndugu zangu!
Nimekuja na uzi huu maalumu kwa "Save for Save" huu ni mtindo unaotumika kuunganisha watu mbalimbali kuwa karibu hasa katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp, ambapo kila mtu atakuwa na uwezo wa kumuandikia ujumbe mwenzake na kuangalia status za mwenzake.
Faida...
Ukute hapo uyo mjuba kashapitishwa kituo na hajaliii wala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chezea Raha Za DadaDala Wewe[emoji1751]Nibalaaaaa[emoji1751][emoji38][emoji38][emoji38].
Hao wanawake huwa wanafanya hivyo makusudi Kisha wanakupa kesi hapohapo ..wanakuchomoa 10,20 au...
Wakuu! Nmekuwa na urafiki na mdada wa kiislamu ni mtoto wa sheikh na amekuwa ni mtu wa swala nyingi sana...
Sasa leo anadai anakuja kunitembelea nyumbani kwangu kwa sababu nilimwambia j3 nitakuwa na safari kaniambia nisiondoke bila kuonana nae na anakuja nyumbani kuniona [emoji848]
Na kwa hali...
Kwema viongozi!
Natumaini mko poa kabisa mnaendelea na maisha kama kawaida.
Swali langu leo nataka kufahamu, je hawa watumishi wa Mungu huwa wanaombea watu na wanapata kweli wanachokiomba?
Kama kuna mtu ambaye alishahudhuria katika moja ya makanisa hayo na yumo humu ndani atupe ushuhuda na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.