Recent content by Kijana Jr

  1. Kijana Jr

    Hatua muhimu kwenye kuweka wiring (umeme)

    Habari wakuu Mpangilio sahihi wa mawasiliano ya umeme ni hatua muhimu zaidi katika nyumba yako. Ni kwamba haiwezekani kuanza ufungaji wa wiring bila mpangilio na hatua sahihi, Hatua na mpangilio sahihi wa wiring sio tu kwa majengo mapya hata ambayo sio mpya. kusudi kuu la wiring...
  2. Kijana Jr

    Wiring kwa usalama wa nyumba yako

    Ndio mkuu ondoa shaka
  3. Kijana Jr

    Wiring kwa usalama wa nyumba yako

    Karibu kwa kazi nzuri na ubora kwa usalama wa nyumba yako
  4. Kijana Jr

    Wiring kwa usalama wa nyumba yako

    Nafanya wiring kwa gharama za bei nafuu sawa na Bure (150,000)kwa ramani ya nyumba hii kwa ubora na usalama wa nyumba yako pia nakupitishia form ya maombi tanesco bila wewe kwenda ofisini kwaoWaweza nitumia ramani ya nyumba nikakufanyia tasmini ya gharama za wiring Napatikana dar es salaam...
  5. Kijana Jr

    Mimi ni fundi umeme natafuta kazi

    Nimeziona mkuu ila zinataka ujipange kweli kweli
  6. Kijana Jr

    Mimi ni fundi umeme natafuta kazi

    Habari zenu wakuu mimi ni fundi umeme natafuta kazi, kama Kuna fundi ambaye naweza fanya nae kazi naomba niwe nae, au kama Kuna mtu anaweza kuniunganisha kiwandani au kwenye sekta yeyote Tanzania bara au kisiwa popote pale nipo teyari Contact 0712046672
  7. Kijana Jr

    Post za matangazo ya engineering jobs

    Wakuu maengineer samahani naombeni connection ya electrical technician
  8. Kijana Jr

    Vitu viwili vitakavyo kusaidia kutimiza malengo malengo yako

    habari ndugu zangu chukua dakika chache kumshukuru Mungu kwa wema na Fadhila zake juu yetu.katika maisha ya mwanadamu kuna vipindi fulani ambavyo kama wanadamu tunapitia, kuna vipindi vingine vinakuwa vigumu sana kiasi ambacho tunatamani hata kujiondoa hapa duniania hii haimaanishi kuwa Mungu...
  9. Kijana Jr

    Sitarudia tena kuruka kwenye Daladala ikiwa Haijasimama kama Makondakta

    Mkuu pole sana umefanya nicheke dah umenikumbusha mbali Mimi ndio michezo yangu ya kudrop kwenye daladala bhaaaaanaaaaa ww sitosahau nilivyopiga mguu kwenye kingo za reli kwa kudandia treni ilikua mwaka 2018 pale posta stesheni
  10. Kijana Jr

    Je uchawi una harufu? Unanuka au unanukia?

    Kuna eneo mida ya mchana saa 7 au saa moja jioni usikika harufu ya viazi mvilingo eneo ilo kuna mahakama pamoja Na sheli mbele kuna njia panda je harufu hiyo ni ishara ya nini
  11. Kijana Jr

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    kilichotokea pale kitaalamu tunaita technical drawing total football system (t-t system) thomas tuchel in the fox mpira unazungushwa nyuzi 360 ili kutengeneza cycle kamili kisha unapigwa right angle kidogo unaji construction cycloid without using mathematics equipment unajitengeneza vertical...
  12. Kijana Jr

    Fundi umeme natafuta kazi

    Kwa mara nyingine tena kijana wenu nakuja kwenye jukwaa hili kuomba nafasi yoyote ya kazi ambayo itakuwa halali. Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 27, Elimu yangu nina certificate of electrical and automation umeme wa majumbani Na viwandani. Nimekuja hapa kwa mara nyingine kuomba kwa yoyote...
  13. Kijana Jr

    Mafundi wa aina yoyote na huduma zote za ujenzi zinapatikana hapa

    Mkuu naweza kupata kazi hapo ya ufundi umeme
  14. Kijana Jr

    Msaada naombeni kazi au connection nipate kazi

    Habari zenu wakuu, Najua hapa ndani hapawezi kukosa wamiliki, maengineer wa makampuni,viwanda, na mashirika mbali mbali mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 26 naishi Dar es Salaam. Naombeni kazi ya ufundi umeme Elimu nina level three ya electrical.
  15. Kijana Jr

    Mzee abuni umeme wake "haukatiki, sijasoma nilitengeneza helikopta wazungu wakachukua"

    Rojas law Is basic law of electric magnetic state that magnetic field enter is equal to magnetic field leave Ongera kwa waparee
Back
Top Bottom