Habari wakuu
Mpangilio sahihi wa mawasiliano ya umeme ni hatua muhimu zaidi katika nyumba yako.
Ni kwamba haiwezekani kuanza ufungaji wa wiring bila mpangilio na hatua sahihi,
Hatua na mpangilio sahihi wa wiring sio tu kwa majengo mapya hata ambayo sio mpya.
kusudi kuu la wiring...
Nafanya wiring kwa gharama za bei nafuu sawa na Bure (150,000)kwa ramani ya nyumba hii kwa ubora na usalama wa nyumba yako pia nakupitishia form ya maombi tanesco bila wewe kwenda ofisini kwaoWaweza nitumia ramani ya nyumba nikakufanyia tasmini ya gharama za wiring
Napatikana dar es salaam...
Habari zenu wakuu mimi ni fundi umeme natafuta kazi, kama Kuna fundi ambaye naweza fanya nae kazi naomba niwe nae, au kama Kuna mtu anaweza kuniunganisha kiwandani au kwenye sekta yeyote Tanzania bara au kisiwa popote pale nipo teyari
Contact 0712046672
habari ndugu zangu
chukua dakika chache kumshukuru Mungu kwa wema na Fadhila zake juu yetu.katika maisha ya mwanadamu kuna vipindi fulani ambavyo kama wanadamu tunapitia, kuna vipindi vingine vinakuwa vigumu sana kiasi ambacho tunatamani hata kujiondoa hapa duniania hii haimaanishi kuwa Mungu...
Mkuu pole sana umefanya nicheke dah umenikumbusha mbali Mimi ndio michezo yangu ya kudrop kwenye daladala bhaaaaanaaaaa ww sitosahau nilivyopiga mguu kwenye kingo za reli kwa kudandia treni ilikua mwaka 2018 pale posta stesheni
Kuna eneo mida ya mchana saa 7 au saa moja jioni usikika harufu ya viazi mvilingo eneo ilo kuna mahakama pamoja Na sheli mbele kuna njia panda je harufu hiyo ni ishara ya nini
kilichotokea pale kitaalamu tunaita technical drawing total football system (t-t system) thomas tuchel in the fox mpira unazungushwa nyuzi 360 ili kutengeneza cycle kamili kisha unapigwa right angle kidogo unaji construction cycloid without using mathematics equipment unajitengeneza vertical...
Kwa mara nyingine tena kijana wenu nakuja kwenye jukwaa hili kuomba nafasi yoyote ya kazi ambayo itakuwa halali.
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 27, Elimu yangu nina certificate of electrical and automation umeme wa majumbani Na viwandani. Nimekuja hapa kwa mara nyingine kuomba kwa yoyote...
Habari zenu wakuu,
Najua hapa ndani hapawezi kukosa wamiliki, maengineer wa makampuni,viwanda, na mashirika mbali mbali mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 26 naishi Dar es Salaam.
Naombeni kazi ya ufundi umeme Elimu nina level three ya electrical.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.