Sio kupiga tu, na bikra aliitoa Roma mwenyewe,,,, alafu hii stori buana. Ukiacha Neema mwenye mtoto, wengine wote kajamaa kakuta kitu sealed akakifungua yeye. Kale ka Donyi na kenyewe kidogo jamaa akafumue baharini kule kama sio kuvamiwa na wazungu wale 😅😅
Habari ya Morning Talk ilikuwa ni kitu kingine jamani...... mara nyingi kwa o'level hasa form one tulikuwa tukiwaachia waliosoma st. ni nini nini nini sijui wakati sie wa st. kayumba ndio kwanza tulikua tunakula kona au hatuonekani parade kabisa....
waliobahatika kusimama pale mbele kwa morning...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.