Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza hatua kali za kiuchumi dhidi ya Iran, akisema nchi yoyote itakayoruhusu taasisi zake za kifedha, biashara, viwanja vya ndege au taasisi za serikali kutoa msaada wa aina yoyote kwa Iran itakabiliwa na madhara makubwa ya kiuchumi.
Kupitia mtandao wa...