Recent content by Kijakazi

  1. Kijakazi

    Hii ndio hali ya Bumbuli ambayo Mbunge wake ni Waziri wa Mambo ya nje ya Nchi

    yuko busy kumsafirisha raisi nje kwa waislamu for his own selfish interest, western countries hatakiwi na wala haalikwi popote, angalau wakati wa Mulamula walikuwa wanaalikwa western countries sasa lkn sasa hivi ni mwendo wa uturuki au irani …
  2. Kijakazi

    Benki ya Dunia yasitisha kufadhili mradi wa REGROW. Mradi huo unahusishwa na ukiukaji wa Haki za Binadamu nchini Tanzania

    madudu na dhuluma ya awamu ya 4 hayo, walifukuza watu ruaha kama vile wafanyavyo sasa hivi kupora ardhi ya Watanzania huko Ngorongoro, WB ilikuwa under pressure kufadhili dhuluma na uporaji …
  3. Kijakazi

    Bashungwa Ashiriki Maombi na Dua ya Kuliombea Taifa

    lkn hakwepekwi 2025/35 shida iko hapo labda …
  4. Kijakazi

    Bashungwa Ashiriki Maombi na Dua ya Kuliombea Taifa

    tunapitia kipindi kigumu sana tangia kuanzishwa kwa republic yetu, yes maombi tunayahitaji, 2025 tuna raisi mpya …
  5. Kijakazi

    Bashungwa Ashiriki Maombi na Dua ya Kuliombea Taifa

    raisi wetu 2025/35, karibu sana Mchumi mbobezi P.Mpango (Phd), kazi kubwa inakusubiri …
  6. Kijakazi

    Kwanini Waarabu hawataki tuoe kwao?

    vipi anayebaguliwa? kwa nini anabaguliwa? au kwa nini anakubali kubaguliwa?
  7. Kijakazi

    TANZIA Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (KDF) Jenerali Francis Ogolla afariki katika ajali ya Helikopta ya Jeshi

    tundu lisu alimuita Magufuli dictator uchwara, sasa nimeanza kuelewa alichomaanisha, real dictators lives on, it’s all about timing, usipowawahi, wanakuwahi wao …
  8. Kijakazi

    Dtk. Biteko: Tumetekeleza agizo la Rais. Mgao wa Umeme imemalizika rasmi

    lkn jiwe alimleta malkia wenu samia (tena alimteua x2) hivyo anastahili pongezi hata kwa hilo tu au ?
  9. Kijakazi

    TANZIA CAG Mstaafu Profesa Assad afiwa na mkewe Dkt. Badria Bave Msambichaka

    kwani wana familia, ndugu na jamaa hawajajua na kwamba unawatafuta kuwajulisha?
  10. Kijakazi

    Watanzania tuelewe nafasi ya Rais kama Kiongozi wa nchi na tumheshimu Rais Samia Suluhu Hasani

    lkn hawajawahi kuwa kwa maslahi ya nchi from day one hivyo ni muendelezo tu wa failure na incompetence kila mahali, garbage in, garbage out …
  11. Kijakazi

    Watanzania tuelewe nafasi ya Rais kama Kiongozi wa nchi na tumheshimu Rais Samia Suluhu Hasani

    binafsi katika haya maisha kama kuna kitu nimejifunza ni kutokuingilia ugomvi nisiouelewa chanzo chake, for sure kuna sababu kwa nini wanaotukana wanafanya hivyo with impunity na hata usikute sababu hazina uhusiano wowote ule na manufaa ya nchi kama wasemavyo, usikute kwenye wizi wamezibiana na...
  12. Kijakazi

    Watanzania tuelewe nafasi ya Rais kama Kiongozi wa nchi na tumheshimu Rais Samia Suluhu Hasani

    ni muislamu na wanaomdhalilisha ni waislamu wenzake, sasa sisi tufanyeje hapo?
  13. Kijakazi

    Samaki, nyama, kuku na maharage kuliwa kama mboga ni dalilli ya umaskini?

    lishe ni sayansi inayojitegemea, kula kushiba haimaanishi afya bora …
Back
Top Bottom