yuko busy kumsafirisha raisi nje kwa waislamu for his own selfish interest, western countries hatakiwi na wala haalikwi popote, angalau wakati wa Mulamula walikuwa wanaalikwa western countries sasa lkn sasa hivi ni mwendo wa uturuki au irani …
madudu na dhuluma ya awamu ya 4 hayo, walifukuza watu ruaha kama vile wafanyavyo sasa hivi kupora ardhi ya Watanzania huko Ngorongoro, WB ilikuwa under pressure kufadhili dhuluma na uporaji …
tundu lisu alimuita Magufuli dictator uchwara, sasa nimeanza kuelewa alichomaanisha, real dictators lives on, it’s all about timing, usipowawahi, wanakuwahi wao …
binafsi katika haya maisha kama kuna kitu nimejifunza ni kutokuingilia ugomvi nisiouelewa chanzo chake, for sure kuna sababu kwa nini wanaotukana wanafanya hivyo with impunity na hata usikute sababu hazina uhusiano wowote ule na manufaa ya nchi kama wasemavyo, usikute kwenye wizi wamezibiana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.