Unahisi hao wazee wa miaka 86 hata wanajua AI na GPS coordinates ni nini? Kama unaamini vita vinapiganwa na hao wanasiasa then Iran Hana kitu, ila uhalisia haupo hivyo.
Handala Kundi la Iran la hii vita wanadukua Israel kama hawana Akili vizuri, mpaka ukiona Netanyahu anabandika Gundi kwenye simu anaelewa wanachofanya, mpaka ukiona Taa za barabarani zinatolewa Israel wao wanaelewa wanachofanya.
Juzi Dimona kumepigwa hakujalia Ving'ora wala missile Ku intercept Handala wame claim udukuzi huo wamefanya wao.
Angalia hata picha za Satellite base za Marekani zilivyopigwa, ni mpuuzi pekee atasema hawa watu walikua hawana intelligence.
View attachment 3562288
Unaona Radar hizo zimekuwa precisely attacked, MTU yupo Iran pengine maisha yake yote hata nje ya Iran haijawahi kutoka, anabonyeza Tu kitufe missile inaenda exactly kupiga sehemu Fulani tena kisehemu kidogo Tu kama dishi la Mita kadhaa kinateketezwa. Unahisi hii sio intelligence?