Recent content by Kijaaa

  1. Kijaaa

    Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

    Habarini ndugu zangu , Kuna siku niliomba ushauri kuhusu kuwaswa seheme za korodani na Kuna vinyama vilikuwa vinaota , Asanten kwa ushauri na nilpo enda kwa Daktari nilipewa hizo dawa mbili za kupaka ambapo ELYVATE unapaka asubuhi na jioni seheme zenye kuwasha , na hiyo SEABOMA lotion unapaka...
  2. Kijaaa

    Hatimaye Mahari yangu yote imerudishwa

    Habarini ndugu zangu , Kuna siku niliomba ushauri kuhusu muvunjika kwa uchumba na jinsi ya kurudishiwa mahali na baadhi ya zawadi nilizowahi kuzitoa , Nashukuruni kwa ushauri wenu kwa kila mmoja alivyonishauri na hatimaye Mahari yangu yote imerudishwa na Namshukuru Mungu kwa hilo na Mungu...
  3. Kijaaa

    Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

    Habarini wanabdugu , naombeni msaada wa tatizo nilililonalo la kuwashwa SEHEMU ya KORODANI na uume kuwasha kwa ndani na nje , ninetumia cream za kupaka na dawa lakini bado nasumbuliwa shida ni hivyo vijinundu vinavyoota na kuwasha Sana , naombeni msaada
  4. Kijaaa

    Kuvunjika kwa uchumba

     HomeIJUE SHERIASHERIA IMERUHUSU KUDAI ZAWADI ULIZOTOA UCHUMBA UNAPOVUNJIKA. SHERIA IMERUHUSU KUDAI ZAWADI ULIZOTOA UCHUMBA UNAPOVUNJIKA. IJUE SHERIA, Una mahusiano na mwanaume au mwanamke ambaye kimsingi mpo katika uchumba. Unampa zawadi nyingi naye anakupa zawadi. Mnayo ahadi ya kufunga...
  5. Kijaaa

    Kuvunjika kwa uchumba

    Yaani nimefanya hivyo pia na Kuna dada ake ambeye wameshare baba , nilimshikikisha kutokana na kuwa tangu nakuwa amekuwa akisaport Sana na tangu tunaingia uchumba huyu dada amekuwa akinishauri vitu vingi hasa kusali Sana maana ni mtu wa dini , kwaivyi ilipotokea mdogo wake ameamua tuachane...
  6. Kijaaa

    Kuvunjika kwa uchumba

    Dah broo nakuelewa Sana , yaani mpaka nahisi kafungwa kiakili maana akiulizwa kwanini umeamua anasema Mimi huwa namwambia njoo unifulie wakati bado hata ndoa sasa kiuhalisia haiingii akikini
  7. Kijaaa

    Kuvunjika kwa uchumba

    [emoji1787][emoji1787][emoji119]
  8. Kijaaa

    Kuvunjika kwa uchumba

    Sahihi Mimi ndio niliye mchumbia ,Sory kwa Hilo kuu
  9. Kijaaa

    Kuvunjika kwa uchumba

    Anhaaa nakuelewa Sana kaka nashukuru
  10. Kijaaa

    Kuvunjika kwa uchumba

    Nikweli kaka , uko sahihi sana
  11. Kijaaa

    Kuvunjika kwa uchumba

    Oooh ok sawa nashukuru ndugu na vipi nasikia Kuna kudai pia zawadi na pesa ambazo alikuwa akipewa mkiwa wachumba Kuna ukweli kwenye hili.
  12. Kijaaa

    Kuvunjika kwa uchumba

    Jamani wanasheria naombeni ushauri Mimi nilikuwa na mwanamke ambaye alikuwa mchumba wangu , na tulisha chumbiana mpaka kumvalisha Pete na mipango ya harusi ikaanza Sasa Basi akiwe yeye yupo katika hatua ya kujiandaa na send off na Mimi pia nikiwa najiandaa kwa harusi ambayo ilitakiwa ifanyike...
  13. Kijaaa

    Msaada kuhusu game ya dream league

    Ok mkuu ngoja nijaribu hivyo
Back
Top Bottom