Ok sawa mkuu Asante kwa ushauriTafuta sonaderm cream paka kila baada ya kutoka kuoga
Oshea Maji ya Chumvi, Loweka kwenye Maji kisha tumia hayo maji kuosha hiyo sehemuHabarini wanabdugu , naombeni msaada wa tatizo nilililonalo la kuwashwa SEHEMU ya KORODANI na uume kuwasha kwa ndani na nje , ninetumia cream za kupaka na dawa lakini bado nasumbuliwa shida ni hivyo vijinundu vinavyoota na kuwasha Sana , naombeni msaadaView attachment 1904552
Oooh ok sawaOshea Maji ya Chumvi, Loweka kwenye Maji kisha tumia hayo maji kuosha hiyo sehemu
ShingapiFangasi hiyo mkuu, Luna vidonge vinaitwa Terbinafine na Cream yaku, ni Untifungal mzuri sana
Kidonge kimoja 2000 vinakaa 14 na Cream yake 10,000 .but vidonge unaweza nunua kidogo kidogo maana Dosege yake unameza kimoja kwa SikuShingapi
Madaktari wa JF ujuaji Kila mahaliNimeona hizo sehemu nyege hizi hapa loh!
Mkuu,nenda hospital...korodani kuwasha nje na ndani sidhani kama litakuwa tatizo la kutibiwa na creams tu
Ni tatizo linaanzia ndani ya mwili
Nimeona hizo sehemu nyege hizi hapa loh!
Mkuu,nenda hospital...korodani kuwasha nje na ndani sidhani kama litakuwa tatizo la kutibiwa na creams tu
Ni tatizo linaanzia ndani ya mwili
Haaaa, sirious???Nimeona hizo sehemu nyege hizi hapa loh!
Mkuu,nenda hospital...korodani kuwasha nje na ndani sidhani kama litakuwa tatizo la kutibiwa na creams tu
Ni tatizo linaanzia ndani ya mwili
Taarifa ulizoweka hapo pekee haztoshi kuonesha njia ya namna ya kukusaidia, ziko brief sana.Habarini wanabdugu , naombeni msaada wa tatizo nilililonalo la kuwashwa SEHEMU ya KORODANI na uume kuwasha kwa ndani na nje , ninetumia cream za kupaka na dawa lakini bado nasumbuliwa shida ni hivyo vijinundu vinavyoota na kuwasha Sana , naombeni msaadaView attachment 1904552
Nenda kafanye cheki up ya magonjwa ya zinaa!Habarini wanabdugu , naombeni msaada wa tatizo nilililonalo la kuwashwa SEHEMU ya KORODANI na uume kuwasha kwa ndani na nje , ninetumia cream za kupaka na dawa lakini bado nasumbuliwa shida ni hivyo vijinundu vinavyoota na kuwasha Sana , naombeni msaadaView attachment 1904552
Madaktari wa JF ujuaji Kila mahali