Recent content by kiiii___

  1. K

    Msaada: Anayejua mchanganuo wa uniti moja ya maji kwa ndoo pamoja na gharama yake anijuze

    Habari zenu! Hivi unit moja ya maji ni sawa na ndoo ngapi za maji? Na bei ya unit moja ni shngap? Nisaidieni nahisi napigwa huku na mwenye nyumba.
  2. K

    Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

    Nikitaka na apply wapi[emoji23][emoji23]
  3. K

    Natafuta fundi anayejua kushona nguo

    Kama anakampuni yake hatofaa, nataka anifanyie kazi mimi nikipenda kazi zake
  4. K

    Natafuta fundi nguo za kike Dar es Salaam

    Hello! Natafuta fundi anayejua kushona nguo za kike haswa, kama unafahamu naomba namba zake nitamtafuta asanteni. Awe Dar
  5. K

    Natafuta fundi anayejua kushona nguo

    Hello! Natafuta fundi snayejua kushona nguo za kike, mishono ya kisasa nimpe tenda na kama nitapenda kazi zake nifanye naye kazi. kama unafahamu naomba namba zake nitamtafuta asanteni, location Dar es salam
  6. K

    New member

    Hiiiii everyone
Back
Top Bottom