Natafuta fundi anayejua kushona nguo

kiiii___

Member
Nov 28, 2021
10
27
Hello! Natafuta fundi snayejua kushona nguo za kike, mishono ya kisasa nimpe tenda na kama nitapenda kazi zake nifanye naye kazi. kama unafahamu naomba namba zake nitamtafuta asanteni, location Dar es salam
 
Upo wapi? Kama dar mcheki huyu rafiki yangu
Screenshot_2022-01-29-13-20-53-86.jpg
 
Unataka akushonee nguo au unataka kumpa kazi kwenye Kampuni yako?.

Fafanua ili wenye Kampuni zao tayari wasihangaike kukutafuta.
 
Hello! Natafuta fundi snayejua kushona nguo za kike, mishono ya kisasa nimpe tenda na kama nitapenda kazi zake nifanye naye kazi. kama unafahamu naomba namba zake nitamtafuta asanteni, location Dar es salam
Ndugu habari.. !!
Natafuta mtu anayefanya biashara ya uuzaji wa nguo za kiume mtumba mikoani...
Nina bidhaa za nguo za 👖 jeans suruali, t-shirt ,na pia trak juu na chini.. (GRADE A) bei nafuu tu nipo maeneo ya Tabata segerea
Mawasiliano 0744644627
0622531099
Hata pia kwa ulieko Dar Es salaam ni vizuri zaidi, jipatie bidhaa kwa bei poa ya jumla..
Nataka nibadilishe biashara, so mzigo upo store bei poa kabisa usiwe na shaka
 
Back
Top Bottom