Unataka akushonee nguo au unataka kumpa kazi kwenye Kampuni yako?.
Fafanua ili wenye Kampuni zao tayari wasihangaike kukutafuta.
Ndugu habari.. !!Hello! Natafuta fundi snayejua kushona nguo za kike, mishono ya kisasa nimpe tenda na kama nitapenda kazi zake nifanye naye kazi. kama unafahamu naomba namba zake nitamtafuta asanteni, location Dar es salam