Acheni kuangalia ya wenzenu wananchi tunataka sukari Lowasa,Sumae hawapo kwenye mfumo wa utawala sasa.Tujadilini leo siyo jana.Tulijuwa tu kwamba kigingi kipo karibu.Lugumi,sukari.
Hayo ndiyo maajabu ya serkali ya CCM.Wanataka kubakia madarakani kwa bei yoyote ile.Wakati wakulima wanakosa pembejeo wao wanaagiza gari za washa washa.
Kitu ambacho wengi hamjatambua ni kwamba Nape,Tulia wapo maalum kwa sababu maalum hivyo tutashangaa mengi ktk bunge hili.Hivyo 2020,ni juu yetu kusuka au kunyoa ni kuwaondoa wabunge vilaza wote wa CCM.
Bwana pasco naheshimu sana mada zako.Lakini kwa jana naona Mheshimiwa alikuwa sawa kabisa.kumbuka nyara kukamatiwa Uswiss toka JKNIA, Kwa hiyo kila kitu kinawekana ktk nchi hii.Nafikiri bila kujua sisi wananchi nchi ilibinafusishwa. Tena bila tenda.
Shida unapokuwa Wabunge wanaokwenda kujipendekeza kwa serkali badala ya kuisimamia.Ndugai na wenzake historia itawahukumu kwa kutudisha karne ya kumi na nane.Wameligeuza bunge kuwa taasisi butu kabisa.Na wabunge wa CCM wametumbukia kwenye mtego.Kwa mfano hawa wa viti maalum toka CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.