Muumba anamakusudi yake bhanaaah!.....Nasemah......kwenda kazini hadi nimeona salary! Vinginevyo.....mniweke pembeni tuh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani mpaka anachagua mwelekeo wa kazi hiyo hakujua kiwango cha salary?.....Mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe mwenyewe bwanah!.....Watu wapo kikazi c kimasilahi kama unavyofikiri!
Gar umeenda mbali sanah!!.....Chukua pikipiki SunLG125 na Toyo125 zen weka kwenye ushindani.....wote watembee na speed90!.....Kubali au ukataeeh.....Toyo itaisoma no./////// Y? Sina jibuuuuh!
Tatizo mtoa mada.......UMEITAWANYA SANA AKILI YAKO!.....ila ukiiweka PAMOJA utaona C JAMBO BAYAH!.....Jaribu kuiweka pamoja akili yako zen nipe jibu........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.