Recent content by kihagav

  1. K

    Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma hawajapata mshahara

    Muumba anamakusudi yake bhanaaah!.....Nasemah......kwenda kazini hadi nimeona salary! Vinginevyo.....mniweke pembeni tuh! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    NMB kuweni na hurumah!

    Maskini wenzangu tuwe macho.....hizi taasisi za fedha zinatuibia sana watu wa chini!
  3. K

    NMB kuweni na hurumah!

    Nimemaliza mkopo wenu kiroho safi tuh ....... lakini naona bado mnaendelea kufanya yenu!.....tafathali sanah!.....Acheni kuwaibia maskin bhanah!
  4. K

    Mwanamke maarufu mrembo kuliko wote Tanzania

    Ma' wife ndo kila kituh!......
  5. K

    Mtukufu mimi ni kati ya wale shetani wako nisikilize japo kidogo

    No comment!....Hivi huko kwenu salary slip mnaziona?
  6. K

    AIBU: Askari Magereza mwenye degree kulipwa Tsh 355,100 sawa na Form Four

    Unadhani mpaka anachagua mwelekeo wa kazi hiyo hakujua kiwango cha salary?.....Mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe mwenyewe bwanah!.....Watu wapo kikazi c kimasilahi kama unavyofikiri!
  7. K

    Ngorongoro: Mnyama aina ya faru aliyeletwa nchini kuhifadhiwa wahusika wadai alikufa

    Hivi yule wazir wa mali yetu ya asili aliyepita alikuwa anaitwa NANI?............
  8. K

    Lusekelo (Mzee wa Upako) ana mapepo na ni Agent wa Shetani. Ataka oa mke mwingine?

    Nimejifunza jambo toka kwenye upepo huu......HAKUNA MWANAUME ANAYERIDHIKA NA MKE MMOJA!......Mengine yoteeeh!....No comment!
  9. K

    Mjadala: Basi kubwa na pikipiki vikitembea vyote kwa 120km/hr nani atatangulia?

    Gar umeenda mbali sanah!!.....Chukua pikipiki SunLG125 na Toyo125 zen weka kwenye ushindani.....wote watembee na speed90!.....Kubali au ukataeeh.....Toyo itaisoma no./////// Y? Sina jibuuuuh!
  10. K

    Kumekucha! Kampuni ya Dangote yaweka kila kitu hadharani hivi punde tu!

    Nimeelewa kituh!.........kumbe adui wa mtz ni mtz mwenyeweeee!.......Okay!.....Kumbe kaa mbali na mtz!!!!!!
  11. K

    Eti ukila fedha ya rambirambi unakufa?

    Kula tuh!......mwisho wa siku c utakufa tu brazah!
  12. K

    Haikuwa sahihi kwa Magufuli kugawa Maburungutu ya pesa hadharani

    Na ww umekuja vilevileh.......AKILI YAKO IMETAWANYIKA SANA zaidi ya yule mtoa mada!......Fanya KUIKUSANYA PER1 HIVI.......Zen comment tenah!!!!!!!!!!
  13. K

    Haikuwa sahihi kwa Magufuli kugawa Maburungutu ya pesa hadharani

    Tatizo mtoa mada.......UMEITAWANYA SANA AKILI YAKO!.....ila ukiiweka PAMOJA utaona C JAMBO BAYAH!.....Jaribu kuiweka pamoja akili yako zen nipe jibu........
  14. K

    Hongera sana Kanisa Katoliki Tanzania kwa kazi ya WITO

    Kanisa Katoliki.....linarun....dunia!....
Back
Top Bottom