Recent content by Kigizo jr

  1. Kigizo jr

    JamiiForums Tanzania Mipasuko ndani ya CCM ni afya kwa vyama vya upinzani?

    Kwa siku kadhaa sasa fukuto la kutofautiana kimtazamo na maneno baina ya viongozi wakuu wa nchi umezidi kuchukia sura mpya siku adi siku, je ni vita ya panzi furaha kwa kinguru? Ipi faida ya upinzani kuelekea kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
  2. Kigizo jr

    JamiiForums Tanzania Waziri Mulamula: Awamu ya Sita imetambua suala la Uraia pacha linaenda sambamba na ushiriki wa Diaspora

    Ni mpongeze ndugu Abdulrazak Gurnah kwa kushinda tuzo ya Amani ya NOBEL katika kipengele cha Fasihi 2021, na kuwa mswahili wa kwanza kushinda tuzo hii. Ni wakati sasa wa serikali kubeba swala ili la uraia pacha "Dual citizen" tumeona diaspora wetu kwa makubwa anayofanya uko ughaibuni. Wec an...
  3. Kigizo jr

    JamiiForums Tanzania SGR ni mradi wa kibiashara au ni wa kihuduma kwa jamii?

    Ndoto ya aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati JPM ilikuwa siku moja ni kuona SGR kutoka DAR-MORO-DOM ikiwa inafanya kazi. Ivyo ivyo kwa Rais wa sasa mheshimiwa S.S.A ndoto yake ni kuona siku moja mradi huu ukiwa umeshanza kufanya shughuli zake. Je mradi huu ni wa kibiashara au ni wa kihudama kama...
  4. Kigizo jr

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    "Ukitaka mali utaipata shambani" ndicho waweza sema kilicho tokea leo, vigogo karibia wote wameanguka leo ivyo twaweza kusema maisha ya kubeti yamekuwa magumu.
  5. Kigizo jr

    JamiiForums Tanzania Je, simba inakamiwa au ni uwezo wao kwa sasa

    Nimeona watu wengi wanasema kuwa simba wanakamiwa na timu ndogo kitu ambacho si kweli. Why simba na si Yanga? Ukweli ni kiwa simba ilishafikia peak ya mafanikio 'na wachezaji walishatumika vya kutosha ivyo hali wanayopitia simba ni kama ile walikutana nayo liverpool msimu uliopita ivyo ni...
  6. Kigizo jr

    JamiiForums Tanzania Kilele cha mafanikio kwa simba 2016-21

    Ngoja tuone
  7. Kigizo jr

    JamiiForums Tanzania Bilioni 20 alizotoa mwekezaji MO Dewji kwenye club ya simba ni changa la macho?

    Naona msuko wa mudi kuweka lile bango simba ni kujitetea juu ya msimu unavyo kwenda kuwa wa ovyo kwa simba
  8. Kigizo jr

    JamiiForums Tanzania Kilele cha mafanikio kwa simba 2016-21

    Tutarajie mafanikio zaidi kwenye champions league zaidi ya msimu uliopita waarabu walipo kuwa 'na corona 'na sasa hawana
  9. Kigizo jr

    JamiiForums Tanzania Kilele cha mafanikio kwa simba 2016-21

    Mudi miyeyusho sana
  10. Kigizo jr

    JamiiForums Tanzania Kilele cha mafanikio kwa simba 2016-21

    [emoji16][emoji16][emoji16]
  11. Kigizo jr

    JamiiForums Tanzania Kilele cha mafanikio kwa simba 2016-21

    Kwa lugha nyepesi au ngumu waweza kusema s kuwa safari ya mafanikio ya simba kwa sasa ipo kwenye hatua ya mwisho kwa kutumia mfano wa bidhaa sokoni. Product life cycle ina stage zipatazo nne:- i. introduction stage ii. Growth stage iii maturity stage iv diminish stage Ivyo kwa simba ya sasa ni...
  12. Kigizo jr

    JamiiForums Tanzania Pendekezo langu kwa Makampuni ya simu na TCRA

    Nafikiri kungekuwa na vifurushi ambavyo ni basic bundle kwa makampuni ya simu na viwe monitoring na TCRA, Na pili kuwe na upande wa vifurushi vya ofa ambavyo ingekuwa ni choice kwa kampuni kujua wanaweka kwa namna gani ili kupata ushindani sokoni (Ni kampuni lenyewe la simu kujua wanaweka ofa za...
Back
Top Bottom