Kigizo jr
Member
- Apr 1, 2021
- 12
- 9
Nimeona watu wengi wanasema kuwa simba wanakamiwa na timu ndogo kitu ambacho si kweli.
Why simba na si Yanga?
Ukweli ni kiwa simba ilishafikia peak ya mafanikio 'na wachezaji walishatumika vya kutosha ivyo hali wanayopitia simba ni kama ile walikutana nayo liverpool msimu uliopita ivyo ni lazima kwa simba kukubali kupitia kipindi cha mpito na kuandaa kikosi kipya.
Why simba na si Yanga?
Ukweli ni kiwa simba ilishafikia peak ya mafanikio 'na wachezaji walishatumika vya kutosha ivyo hali wanayopitia simba ni kama ile walikutana nayo liverpool msimu uliopita ivyo ni lazima kwa simba kukubali kupitia kipindi cha mpito na kuandaa kikosi kipya.