Nilikuwa mbali naye kwa muda wa mwaka hivi yeye yuko mwanza na Mimi Niko Morogoro lakini tulikuwa tukikutana naye kila baada ya miezi kama miwili hivi lakini acha ajabu nimekuja kumuona wiki iliyopita nakutana na maneno eti hana hisia na Mimi tena.
Nimejaribu kumuuliza kiundani baadae kasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.