Recent content by kigandaa

  1. kigandaa

    Wakili Peter Madeleka: Freeman Mbowe amechanganywa na wafungwa wanaosubiri kunyongwa gerezani

    Kwakweli watu tujitahidi kuwa wakweli, hakuna sababu ya kusema uongo ambao hata hauna faida yoyote kwa jamii
  2. kigandaa

    Wakili Peter Madeleka: Freeman Mbowe amechanganywa na wafungwa wanaosubiri kunyongwa gerezani

    Labda niseme kitu, tujifunze kusema ukweli ili tusipotoshe watu hapa, Wafungwa wa Kunyongwa wana gereza lao maalumu ambalo hata mfungwa wa kifungo cha maisha haruhusiwi kuingia huko, huyu mnayemsema kawekwa huko ni Mahabusu bado, hawezi kuingizwa huko kwa namna yeyote ile, semeni ukweli kwaajili...
  3. kigandaa

    Mbowe: Hatukubali matokeo EALA na tutakwenda mahakamani

    Mbowe aruhusu demokrasia itumike ndani ya Chadema,asiwaburuze watu,kila kitu yeye ndo anapanga,akasahau kuwa anacheza game na magwiji wa siasa
  4. kigandaa

    Mbowe: Hatukubali matokeo EALA na tutakwenda mahakamani

    Mnatokwa na povu wakati kasoro zilionekana mapema kuanzia mchakato wa kuwapata wawakilishi wenu haukufuata utaratibu wa sheria bado mkaona ni sawa,sasa mjipange kwa hoja, niwakumbushe tu MAAMUZI YA BUNGE HAYAPELEKWI MAHAKAMANI
  5. kigandaa

    CHADEMA na dhana ya akili nyingi huondoa maarifa

    Wangekubali ushauri mapema,wangeleta wagombea wanne ili kuficha mkakati wao ingewasaidia
  6. kigandaa

    CHADEMA na dhana ya akili nyingi huondoa maarifa

    Kwanza kosa lilionekana mapema,kwanini wagombea watoke Mkoa mmoja? Ujuaji mwingi huondoa maarifa
  7. kigandaa

    CHADEMA kanda ya Ziwa yawavua uongozi, viongozi wake watano wilayani Kahama

    Kanda ya ziwa hawana chao tena CDM,maana hii ni kanda ya ZZK
  8. kigandaa

    Kesi ya Zitto yapigwa kalenda hadi Aprili mosi

    Lissu ndo anaharibu chama japo anakumbatiwa na wakubwa wake na kwa matokeo ya uchaguzi wa madiwani Chadema wajitathimini maana Watanzania wamechoshwa na propaganda
  9. kigandaa

    Matokeo ya Uchaguzi wa Udiwani Feb 09, 2014: CCM yaibuka kidedea!

    Watanzania wana akili sana hawawezi kuongozwa na chama cha wahuni kama CHADEMA,wataendelea kujitawala huko kwao
  10. kigandaa

    Wanafunzi wa Kisabato Wafukuzwa TEKU kwa Kukataa Kufanya Mitihani Siku ya Sabato naomba muongozo wa kisheria

    Yesu aliletewa wagonjwa siku ya sabato akawaponya,wale Mafarisayo walipomlalamikia aliwapa mfano akisema,ng'ombe wako akiangukia shimoni siku ya sabato utamuacha afie humo au utamtoa?nina maana hii hao madogo wasichanganye madesa kama wapo chuo kwaajili ya kusoma wanatakiwa kusoma na si kufuata...
  11. kigandaa

    Fastjet na nauli ya 75,000 Tsh (Mwanza-Dar)

    Kwa fastjet ukikata ticket mwezi mmoja kabla ya safari unapata hiyo ya 75,000/=mimi nimekata kwa bei hiyo 150,000 kwenda na kurudi
  12. kigandaa

    Ushuhuda: Namna CCM inavyofanya ugaidi nchini

    Uzuri wananchi washaanza kuutambua ukweli kuwa CHADEMA ni waongo kwahiyo mwisho wa siku aibu ipo juu yao
  13. kigandaa

    CHADEMA inavyoliangamiza Taifa!

    Yaani Chadema ni chama cha wahuni maana hata hapa wanajulikana kwa maneno yao yasiyokuwa na hoja zaidi ya matusi
Back
Top Bottom