Guys
The answer is very simple this is the one of the colonial legacy!
Ukiitwa jina la mzungu unajisikia fahari hasa kujiona umebatizwa au umesirimishwa!
Hahahaha
Your arguments is very valid
Thank you
Wewe ndo Elimu ndogo kuliko soma katiba wewe
Lazima ujue kuwa mamlaka ya rais yako ndani ya katiba ya Jamhuri ya Mungano si inje ya hapo!
Hako kakipande ka clerk of National Assembly sijui ni kanuni za bunge sijui nini tangu lini katibu wa bunge anatoa mamlaka na kusign ni kikaratasi either cha...
Kipande cha karatasi ulichoweka ni kipande cha kufungia vitumbua wala maandishi hayo si ya Tanzania
Hatuna utaratibu wa the seat of international activity wala the seat of regional government hatuna viti maalumu vya hivyo labda kenya chizi mmoja tu karusha hiyo
Lakini mamlaka ya Rais yako...
Ni nini kimepita hapo katikati? Mbona kuomba radhi huyu dada hajakanusha kuwa si mtoto wa huyu mzee?
Ametishwa sana inavyoelekea dada yetu umeeleweka Mungu amekusikia!
Si sahihi kusema watanzania ni wajinga utakuwa umekosea sana
Katika utafasiri wa reports za CAG duniani kote ilivyo hawaangalii nini kimefanyika nini maana kitu kinaweza kufanyika sahihi lakini doctrine za uhasibu zikawa si sahihi! Mfano umewatuma watu wawili kufanya semina ya chanjo wakwanza...
Kabla ya kukujibu swali lako unatakuwa uelewe kuwa swali lako limejikita sana ki psychology zaidi
Jibu ni kwamba wakina mama ni watu wanaoishi zaidi katika emotional zaidi kwahiyo anaweza yuko pale yeye kumbe ana mambo mengine kichwani na kuonekana anachuki
Kuzibiditisha hili tazama tu wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.