Gmox
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 318
- 475
kwani kulikuwa na ulazima gani wa kusubiri mpaka litoke tamko kutoka kwa bashite ndipo ajitokeze???Walimuandama kwa vitisho mpaka akamuona baba yake mchungu.
ye si ni mtu mzima pale alipo kulikuwa na shida gani kutumia busara walau atafute njia sahihi ya kukutana na EL mwenyewe kisha amwambie yale anayo yadai kuwa aliambiwa na mama yake kuwa yeye ni mwanae,au hata huko nyuma akiwa mdogo angefanya hivyo angalau ingeleta mantiki maana ingeonekana mtoto anamtafuta baba na sio kwa alivyo fanya kwa sasa acha yamkute si aliyataka mwenyewe hata kama ikitokea yana ukweli ndani yake si alijifanya kajitoa ufahamu...!!