Unadhani Kila mtu ana muda, mazingira sawa na wewe. Mtu kaajiriwa ndichi huko na bado kazini anatoka saa 11 jioni. Ila ndo hivyo anayo hiyo 20m , aiweke chini ya godoro?
We jamaa unajielewa kweli, Yani umetoka kusema UTT ni ujinga halafu unamshauri aweke hela zikae tu benki. Si Bora aziweke UTT hiyo 20m anachukua laki mbili kwa mwezi, na akiwa mvumilivu akiiacha ifanye compounding, ndani ya miaka mitano na ushee, anakuwa na 40m. Faida ya 20m in 5yrs huo si sawa...
1xbet mbona inanigomea kudeposit Leo kwa tigopesa, inasema muamala umesitishwa na pesa zimerudishwa kwenye tigopesa. Kuna MTU anajua solution ya hili ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau kama kuna MTU anazielewa hizi aina za kubet za 1xbet anielezee kidogo 1. Chain betting 2. System betting 3. Anti accumulator betting
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnaotumia 1xbet ,kuna ambaye amewahi kuwithdraw pesa kikamilifu kutoka kwenye account kwenda kwenye simu ? Nasikia jamaa ni wezi. Unadeposit vizuri, unashinda mikeka vizuri IPA ukitaka kutoa pesa ije kwenye simu wanaanza longolongo mpaka wanakufungia account.
@MAY ZEPHAR pitia hizo sticky hapo juu kwenye hili jukwaa la ujasiriamali, kuna kama uzi mbili hivi za kuku wa kienyeji, ukizisoma zote ukamaliza utajifunza mengi sana na ni darasa tosha kuanza kufuga mwenyewe,hizi hapa:
@Biashara ya Ufugaji wa Kuku wa kienyeji na Masoko yake
@Unataka kuwa...
Pole sana, pale tazara nasikia kuna wahuni wengi sana, kwa miezi mitatu hiyo 8000 bado ni bei ya hasara ila wauze tu kwa nyama uanze upya. Next time usitumie madalali nenda kampuni zenye ofisi na zinazofanya kazi tangu muda mrefu.goodluck
huu uzi nikiusoma wakati ndo bado nasota kutafuta kazi miezi kadhaa, najisikia kama niweke vyeti kapuni nifanye mpango wa kuvijasiriamali visenti vyangu. manake m3.5 parefu kwa ambao hata hatujaanza kazi duh hiyo ni dream money.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.