Labda nikuulize swali Moja la kizushi ,kwanini mtoto mchanga akichekeshwa anacheka inamaana tayari ana mihemko.sasa uyo mtoto kuangalia hizo picha alikuwa anatafuta staili ya kwenda kufumuliwa sawa ,ndiyo maana sasaivi watoto wengi machine zao zipo used
Best ebu kuwa mpole kwanza nyie watu wafupi mnafaida nyingi sana maishani ila hamjiamini,kwanza kama ni usiku ni rahisi kumdanganya konda wewe denti japo unfamilia
Hivyo mungu akupe nini we mwana wa adamu
Daaa yaani ndugu yangu ilo ni swali jepesi sana hiyo miwani ni kwa ajili ya kuditect wachawi si unajua tena wachawi wanapenda giza,unaweza kuta raisi kawa bubu gafla kwa hiyo uyo anayevaa miwani uwa anakuwa mkuu wa wachawi kwa raisi na umlinda asizulike na hao wachawi duniani kuna mambo we acha tu
Best fanya hivi,nisikilize mle mate wakati uo fanya kama komedi Fulani vaa kanzu lake au siketi note usivae chupi alafu mwambie mpenzi Mie nimevaa nguo zako basi we vua nikuone tu mi nimelizika Sasa ngoja ajichanganye si unajua siketi unaweza peleka juuu au chini Sasa apo usicheke nanyani
Musiangaike na uyu mtu kwasababu uyu anayeuza kitabu kidogo anaufahamu kwamba elimu Ni ufunguo wa maisha ,Sasa uyu jamaa anaokota vyupa hivyo ana future kweli uyu yaani aliyeandika hii story ,Sasa wee unabisha nini mi namfahamu bana izi sms anaindikiwa
Pambafu zenu yaani ninyi mnajua vipara tu uko chini vibanda umiza eti Sasa mmeamua kusema napenda staili ya kuacha nywele kumbe viwembe chalii ebu acheni hii story
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.