Recent content by kifudu

  1. K

    JamiiForums Tanzania Nasari jiandae kutukanwa na makinda!

    hakyamungu nini sasa?? Unatetemeka hata saa kumi bado?? Komaa mtoto wa kiume, acha ushabiki wa kienyeji.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Updates: Zoezi la kupiga kura - Arumeru East

    Umekunywa hata chai kweli wewe?? Mtu uko huko Tukuyu unajidai unajua siasa za meru, hujitambui, umekwishaa. Yani nawahurumieni Chadema. Naskia jana mbowe kawadanganya eti leo wanawaongezea burudani kwa kuleta chopa nyingine, yani watu wapo kw uchaguzi wao wanawasanifu angani?? si ubazazi huu...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Updates: Zoezi la kupiga kura - Arumeru East

    Kiherehere cha nini na wewe?? Tatizo lenu chadema akili za kushikiwa. Kaoge ulale, leo ni kichapo tu
  4. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Tunalinda kura kwa helcopter

    Kwanza English yenyewe hujui, unabwekabweka tu hapa na Chadema yenu. Leo mtapata majibu yenu. Watu wazima hovyooooo
  5. K

    JamiiForums Tanzania Nasari jiandae kutukanwa na makinda!

    Aende bungeni ni kwa shangazi yake huko? Atapaskia tu. Kwanza mchangieni mjinga mwenzenu kununua viatu. kachoka hajiwezi ndo mnataka awe mbunge. Hivi chadema mna laana nyie???
  6. K

    JamiiForums Tanzania wananchi waukimbia mkutano wa ccm huko kingo'ri

    waliojaa si ndo nyie?? wajanja waliondoka
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mikutano ya CDM kufunga kampeni Tengeru na USA

    Khs hapo snowcrest, amesema jaji lubuva mwenyewe alikuwepo na mpango uliopo ni kuwa wataiba masanduku ya kura yataibiwa na kupelekwa chuo cha ustawi wa jamii tengeru, CDTI, wakati huo watu watakuwa wanachezea kichapo kikali. ndani ya lisaa limoja masanduku mengine yaliyochakachuliwa yatakuwa...
Back
Top Bottom