ingia tu mkuu unakaa nyuma ya lori tu hadi unafika safari yako cha muhim kujiamini mfano mimi nilikua muoga kwenye mataa ile ikiwaka kijani basi nikiwa nyuma ya gari haina shida sema ikawa inatokea mimi ndio niko mbele naamua destiny ya wote walionyuma mwanzo ilikua ngumu badae nikazoea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.