Utasikia wanajikweza kua wao ni giant east Africa, uchumi wao upo juu, wapo smart kuchapa kazi kuliko east Africa nzima, hivi unashindana na mtu ambae alianza kujenga uchumi, uchumi ukaaribiwa, akaanza tena from zero to heroes, uchumi wa Tanzania ulipoharibiwa baada ya vita ya kagera wao walikua...