Kwanini waafrika matajiri walioko Marekani na Ulaya hawafanyi hivi?

Samcezar

JF-Expert Member
May 18, 2014
13,096
22,625
Huwa najiuliza. Kwann watu wenye pesa mfano wa sanii kama akina ludercriss, Tyresse, 50cent,yaani hao baadhi mbona huwa huwa hawaangaiki kuja nchi za afrika na kuanza kufanya uwekezaji kama wa dubai?

Maana unakuta mtu ana lets say networth ya $500 milioni. Hivi huyu mtu lets say akaja kama Tanzania tu hapa au lets say congo hapo. Akawekeza kwenye miundo mbinu na kilimo. Hivi baada ya miaka kadhaa si huu utajiri utadouble?

Maana naona waarabu wahindi wazungu wanawekeza kwenye jamii zao ila waafrika tu ndio wamekuwa slow na jamii yao.

Tazama mtu kama Akon, alikuja na dola milioni 200 tu akafanya project ya umeme na miundo mbinu. Na amecheki ameona kuwa afrika kuna potential kubwa sana ya kiuchumi kwa waafrika wengine.

Jamaa anaplan ya kuanzisha project kubwa ya mji kama kama ile miji ya utalii ya Dubai ambayo nadhani itakuwa pale Ghana kama sio Cameroon (sina uhakika) but jamaa ameona kuna potential na usingizi mkubwa sana kwa hawa viongozi wetu vilaza wanaokalia sound na uongo kupiga hela za kodi za masikini.

Jamaa idea yake ni nzuri sana na akifanikiwa anaweza anza kujenge afrika mpya. Tazama china wanakuja afrika wanaomba sehemu ya bahari wanaijaza mchanga wanajenga hoteli na wanaingiza mamilioni ya pesa. Sisi tumekaa tu hapa kazi kukamatana uchawi. Aiseee
 
Huwa najiuliza. Kwann watu wenye pesa mfano wa sanii kama akina ludercriss, Tyresse, 50cent,yaani hao baadhi mbona huwa huwa hawaangaiki kuja nchi za afrika na kuanza kufanya uwekezaji kama wa dubai....?!

Maana unakuta mtu ana lets say networth ya $500 milioni. Hivi huyu mtu lets say akaja kama Tanzania tu hapa..... Au lets say congo hapo. Akawekeza kwenye miundo mbinu na kilimo..... ..... Hivi baada ya miaka kadhaa si huu utajiri utadouble....?!

Maana naona waarabu wahindi wazungu wanawekeza kwenye jamii zao ila waafrika tu ndio wamekuwa slow na jamii yao.

Tazama mtu kama Akon, alikuja na dola milioni 200 tu akafanya project ya umeme na miundo mbinu. Na amecheki ameona kuwa afrika kuna potential kubwa sana ya kiuchumi kwa waafrika wengine.....

Jamaa anaplan ya kuanzisha project kubwa ya mji kama kama ile miji ya utalii ya Dubai ambayo nadhani itakuwa pale Ghana kama sio Cameroon (sina uhakika) but jamaa ameona kuna potential na usingizi mkubwa sana kwa hawa viongozi wetu vilaza wanaokalia sound na uongo kupiga hela za kodi za masikini.

Jamaa idea yake ni nzuri sana na akifanikiwa anaweza anza kujenge afrika mpya. Tazama china wanakuja afrika wanaomba sehemu ya bahari wanaijaza mchanga wanajenga hoteli na wanaingiza mamilioni ya pesa. Sisi tumekaa tu hapa kazi kukamatana uchawi...... Aiseee
Kuna tofauti kubwa baina ya Akon na hao wengine

Akon Hana damu ya kitumwa hao wengine Wana damu ya kitumwa

Hawana historia yeyote afrika hata ukiwaambia wawataje ancestors wao wataishia kudhani dhani tu .

They don't give bullshit on Africa wanajiona American completely without African descent

Na hata huwa hawapendi kuitwa African Americans wanapenda itwa black American/black people and colored people

Inferiority complex imetawala vichwani mwao

Wana tamaduni za kishenzi life staili za ajabu ajabu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kuwekeza sehemu ambayo huna uhakika na usalama wa mtaji wako.

Unaweka mtaji wako halafu unabaki kuwanyenyekea na kubaki kuwapigia magoti wanasiasa uchwara wa Afrika.

Hata huyo Akon ana support ya Rais wa Senegal, siku wakikosana tarajia Dhahama.
 
Kuna tofauti kubwa baina ya Akon na hao wengine

Akon Hana damu ya kitumwa hao wengine Wana damu ya kitumwa

Hawana historia yeyote afrika hata ukiwaambia wawataje ancestors wao wataishia kudhani dhani tu .

They don't give bullshit on Africa wanajiona American completely without African descent

Na hata huwa hawapendi kuitwa African Americans wanapenda itwa black American/black people and colored people

Inferiority complex imetawala vichwani mwao

Wana tamaduni za kishenzi life staili za ajabu ajabu



Sent using Jamii Forums mobile app
True mkuu
 
Huwa najiuliza. Kwann watu wenye pesa mfano wa sanii kama akina ludercriss, Tyresse, 50cent,yaani hao baadhi mbona huwa huwa hawaangaiki kuja nchi za afrika na kuanza kufanya uwekezaji kama wa dubai?

Maana unakuta mtu ana lets say networth ya $500 milioni. Hivi huyu mtu lets say akaja kama Tanzania tu hapa au lets say congo hapo. Akawekeza kwenye miundo mbinu na kilimo. Hivi baada ya miaka kadhaa si huu utajiri utadouble?

Maana naona waarabu wahindi wazungu wanawekeza kwenye jamii zao ila waafrika tu ndio wamekuwa slow na jamii yao.

Tazama mtu kama Akon, alikuja na dola milioni 200 tu akafanya project ya umeme na miundo mbinu. Na amecheki ameona kuwa afrika kuna potential kubwa sana ya kiuchumi kwa waafrika wengine.

Jamaa anaplan ya kuanzisha project kubwa ya mji kama kama ile miji ya utalii ya Dubai ambayo nadhani itakuwa pale Ghana kama sio Cameroon (sina uhakika) but jamaa ameona kuna potential na usingizi mkubwa sana kwa hawa viongozi wetu vilaza wanaokalia sound na uongo kupiga hela za kodi za masikini.

Jamaa idea yake ni nzuri sana na akifanikiwa anaweza anza kujenge afrika mpya. Tazama china wanakuja afrika wanaomba sehemu ya bahari wanaijaza mchanga wanajenga hoteli na wanaingiza mamilioni ya pesa. Sisi tumekaa tu hapa kazi kukamatana uchawi. Aiseee
Shida kubwa ya sisi masikini tunapenda sana kupangia bajeti pesa za watu .
 
Kuna tofauti kubwa baina ya Akon na hao wengine

Akon Hana damu ya kitumwa hao wengine Wana damu ya kitumwa

Hawana historia yeyote afrika hata ukiwaambia wawataje ancestors wao wataishia kudhani dhani tu .

They don't give bullshit on Africa wanajiona American completely without African descent

Na hata huwa hawapendi kuitwa African Americans wanapenda itwa black American/black people and colored people

Inferiority complex imetawala vichwani mwao

Wana tamaduni za kishenzi life staili za ajabu ajabu



Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sisi tuna matendo ya ajabu yanayowafanya wakatae.

Waafrica tuna tabia zetu ambazo haziwez kuvumilika nadhan tukibadilika tutawavutia na wao kuona Africa ni nyumban
 
Hivi yule jamaa aliejenga hoteli kule bagamoyo baada ya kushawishiwa na mkwere kwamba bandari itajengwa aliishia wapi? Kuna wakati nilimuona analia lia kwenye tivii kwa uchungu maana hela zilikua za mkopo.

Tatizo ni usalama wa mtaji uliowekeza, nchi nyingi za kiafrika sera za kiuchumi na fedha hazitabiriki.
 
Yaani mtu aje awekeze katika hizi nchi za Africa zenye viongozi wengi wenye utapia mlo was kufikiri

Kesho na keshokutwa Ikitokea Machafuko ya kisiasa basi na biashara yake inaenda na maji ""

Thubutuuuu huo ujinga hata ningekuwa Mimi ndiye hao kina 50cent nisingeufanya


Hali ya siasa tulizonazo Africa hazileti ushawishi wa kuwashawishi investors wengi waje kuwekeza katika mataifa yao kwa sababu Tunasiasa za visasi . kama tajiri namba 1 wa tz licha ya umuhimu wake na makampuni yake katika hili taifa lakini alitekwa we we hauoni kuwa hilo saga ni moja ya taswira mbaya zinazofanya baadhi ya wawekazaji waogope kuja kuwekeza Africa .. Muwekezaji yeyote kabla ya kuja kuwekeza huwa anaangalia hali ya usalama kwa nchi husika
 
Utakuta matajiri weusi huko america wanawekeza kwenye magari ya kifahari, nyumba za kifahali pamoja na kuvaa cheni za dhahabu shingoni ,hawajui huku kwao Africa kuna fursa nyingi na endelevu.
Wamarekani weusi wengi hawajui chochote kuhusu Africa, Wengi wao wanajua Africa Ni nchi ambayo watu wanaishi kwenye nyumba za tope huku wakiwa porini na wanyama

 
Kwa taarifa yako tu wale wote uliotaja hao sio African's people

wale ni Amrican people wale huku africa sio kwao kabisa

Tunafananao tu rangi lakini siwenzetu kabisa
Huwa najiuliza. Kwann watu wenye pesa mfano wa sanii kama akina ludercriss, Tyresse, 50cent,yaani hao baadhi mbona huwa huwa hawaangaiki kuja nchi za afrika na kuanza kufanya uwekezaji kama wa dubai?

Maana unakuta mtu ana lets say networth ya $500 milioni. Hivi huyu mtu lets say akaja kama Tanzania tu hapa au lets say congo hapo. Akawekeza kwenye miundo mbinu na kilimo. Hivi baada ya miaka kadhaa si huu utajiri utadouble?

Maana naona waarabu wahindi wazungu wanawekeza kwenye jamii zao ila waafrika tu ndio wamekuwa slow na jamii yao.

Tazama mtu kama Akon, alikuja na dola milioni 200 tu akafanya project ya umeme na miundo mbinu. Na amecheki ameona kuwa afrika kuna potential kubwa sana ya kiuchumi kwa waafrika wengine.

Jamaa anaplan ya kuanzisha project kubwa ya mji kama kama ile miji ya utalii ya Dubai ambayo nadhani itakuwa pale Ghana kama sio Cameroon (sina uhakika) but jamaa ameona kuna potential na usingizi mkubwa sana kwa hawa viongozi wetu vilaza wanaokalia sound na uongo kupiga hela za kodi za masikini.

Jamaa idea yake ni nzuri sana na akifanikiwa anaweza anza kujenge afrika mpya. Tazama china wanakuja afrika wanaomba sehemu ya bahari wanaijaza mchanga wanajenga hoteli na wanaingiza mamilioni ya pesa. Sisi tumekaa tu hapa kazi kukamatana uchawi. Aiseee
 
Yaani mtu aje awekeze katika hizi nchi za Africa zenye viongozi wengi wenye utapia mlo was kufikiri

Kesho na keshokutwa Ikitokea Machafuko ya kisiasa basi na biashara yake inaenda na maji ""

Thubutuuuu huo ujinga hata ningekuwa Mimi ndiye hao kina 50cent nisingeufanya


Hali ya siasa tulizonazo Africa hazileti ushawishi wa kuwashawishi investors wengi waje kuwekeza katika mataifa yao kwa sababu Tunasiasa za visasi . kama tajiri namba 1 wa tz licha ya umuhimu wake na makampuni yake katika hili taifa lakini alitekwa we we hauoni kuwa hilo saga ni moja ya taswira mbaya zinazofanya baadhi ya wawekazaji waogope kuja kuwekeza Africa .. Muwekezaji yeyote kabla ya kuja kuwekeza huwa anaangalia hali ya usalama kwa nchi husika
Dah ila Jiwe na genge lake hapana? Eti waliomteka ni wazungu mara dereva teksi. Siro naye anatoa picha ya cctv ya toyota hilux.

Halafu hili genge wanapotudanganya wanajiona wajanjaaa na sisi wajinga kama wao
 
Back
Top Bottom