Whites are smarter than blacks

Whites are smarter than blacks

Unakuta wazungu wawili walikuwa wanawakokota wafungwa 30 mpk 40

Hao wafungwa walishindwa hata kuwaloga au kuwapiga hata wakiuawa wawili kwa bunduki lakini hao wengine wangesurvive.

Hivi miaka yote na chuma zipo ardhini, tulishindwa hata kutengeneza bunduki ya kupambana na wazungu?

Halalu useme tunalingana na wazungu?
Hivi unataka kuniambia hujawahi kuona wafungwa 20 wakiwa na askari mmoja wa gereza?Acha hizo Azarel,cha moto noma.Kila Mara unafikiria risasi ya kwanza itakupata wewe.And then Azarel kwa sasa hatulingani,that we know kwa kuwa wamesha tu-manage.How nadhani ni somo lingine pana.

Nadhani jambo la msingi la kujiuliza ni kwa nini mababu zetu hawakutegemea wazungu na sisi tunategemea Wazungu,what has changed.That is common sense.Kama umesoma kidogo Azarel na ni mdadisi,it should be easy to know,wala huhitaji PhD to know what has changed.

Azarel we are so enslaved by using precise mind control techniques,brainwashing by the mainstream media,medication and and education kiasi kwamba most of us believe that whites are semi-gods.Dawa hizi hizi za hospitali wanazitumia kwa nia mbaya,kutufanya tuwe mazezeta na slaves,or as they call us zombies.Chanjo hizi hizi wanazitumia kutu enslave na kutufanya mazezeta.Planned Parenthood wanaitumia kutu-enslave na kutufanya tuwe mazezeta.

Azarel wana uwanda mpana sana wa kutufanya tuwe watumwa wao,vilaza na mazezeta.Through this kind of mismanagement over the years, they have managed to make us believe that they are superior,so anybody who comes with alternative truth is seen as a liar and denying the obvious truth.We should change our mindset and accept the actual truth,ingawa kwa kiwango walichofikia,it does not seem likely.

Hawa watu pia wamefamikiwa kufuta kabisa historia yetu, ili tusijue potential yetu,na wametuwekea msingi wa elimu mbovu ambayo haiwezi kutusaidia kwa lolote,may be as slaves.
 
Unakuta wazungu wawili walikuwa wanawakokota wafungwa 30 mpk 40

Hao wafungwa walishindwa hata kuwaloga au kuwapiga hata wakiuawa wawili kwa bunduki lakini hao wengine wangesurvive.

Hivi miaka yote na chuma zipo ardhini, tulishindwa hata kutengeneza bunduki ya kupambana na wazungu?

Halalu useme tunalingana na wazungu?
Mwingereza alitawala karibu dunia nzima,Je ana akili kuliko ulimwengu mzima?hao wafungwa walifungwa magogo Shingoni wangepigana vipi?Wengi wao walikuwa mateka wa vita za kikabila.
 
Mwingereza alitawala karibu dunia nzima,Je ana akili kuliko ulimwengu mzima?hao wafungwa walifungwa magogo Shingoni wangepigana vipi?Wengi wao walikuwa mateka wa vita za kikabila.
Unajihumiza Burr kufikilia hivyo unavyofikilia, Africa imepiga hatua kubwa sana kwa muda mfupi, huwezi kujilinganisha na watu waliowahi kujielewa kabla yako kwa karne nyingi wanatengeneza uchumi wao miaka 1000 iliopita, lakini Afrika hata miaka 100 haijafika lakini imefika ilipofika ,hivyo maendeleo ni gradual change wao waliwahi toka msituni kuliko sisi hivyo kwa huo muda Afrika imepiga hatua kubwa sana, tumepata Uhuru sijui kama tulikua na wasomi waliofika hata 100 sasa unategemea nini,
 
Si kweli hi n white surpremace ambayo wazungu wanaifanya kwa karne nyingi Sasa kujaribu ku undermine black race....wanapandikza kwenye research scientist,politicians,book writters to justify their dominance...

Walichotuzidi n kuwahi kustarabika tu...

Though nakwenyewe miaka mingi iliyopta inasemekana Egyptian ambao walikua black ndo walikua wakwanza
Kwanini nyie msistaharabike sasa?
 
Am sure u are a disgrace to your family. Since you have chosen to believe that, then let it be..... U are a serious case of failure....
Tatizo letu kubwa waafrika ni sisi kujidharau na kumtukuza Mzungu,Wakati yeye anakuona unadhibitisha Unyani wako.
Pia tunarithishana upuuzi huo.Unakuta kijana anaabudu uzungu kuliko hata babu yake alivyowaabudu.Wala Elimu haijasaidia kitu katika hili.
 
Umesema umesoma nao na hawana kitu na wakati huohuo elimu unayosoma imetoka kwao.
Sikwenda kwao kwa kuwa wanajua zaidi,nimekwenda kwa sababu kwa upuuzi wetu,tunadhani wana elimu bora kwa kila Mzungu.Kwao yapo matabaka ya elimu.Wapo watu special wanaopewa elimu special kwa sababu ya kufanya inventions,na hata wana vitambulisho special,ambavyo kwa the normal eye vinaonekana kama vingine.Please know this,ile elimu special ni kwaajili ya watu wao mahsusi tu.Nimekumegea mambo ya ndani na ya siri mno.
 
Back
Top Bottom