Recent content by KIDULYA-IMALILO

  1. KIDULYA-IMALILO

    JamiiForums Tanzania Karibu Kinondoni Paul Makonda kwenye Ngome ya CHADEMA

    Jk mwehu anatuteulia dc bondia hasa kwa wazee wetu haiwezekani jk ana mtindio wa ubongo sio tezi dume tena
  2. KIDULYA-IMALILO

    JamiiForums Tanzania Simiyu: Kamanda Ramadhan J Mayenga wa CHADEMA afariki Dunia

    R.I.P Kamanda
  3. KIDULYA-IMALILO

    JamiiForums Tanzania CCM wajiandae kumlipa Tundu Lissu millioni 76

    Tundu lissu a.k.a CR7 hawamuwezi hata kwa dawa lazima awagalagaze hao magamba na kuchukua huo mpunga watakoma hao mafani wa kijani
  4. KIDULYA-IMALILO

    JamiiForums Tanzania Nimerejea safari kutoka Mikoa ya Kusini, CHADEMA haipo kabisa na wananchi hawamjui Mbowe

    Mleta mada amejaa uccm si mzalendo wa tz ndo maana anaongea pumba cdm inajulikana kila mhl mpaka ikulu ya mtemi wako punguza uongo mm nimetoka huku jana tu nimejionea cdm inakubalika mno subiri 2015
  5. KIDULYA-IMALILO

    JamiiForums Tanzania Nimeamini Mchakato wa Katiba mpya umekwama!

    kale kazee 6 kapumbavu katasababisha machafuko kwenye nchi hii wakawahi kukazimisha kama horace korimba kabla hakajaleta maafa makubwa kwa ajili ya kenyewe na magamba yake.
  6. KIDULYA-IMALILO

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Musoma mjini Mh. Vincent Nyerere azidi kuiteketeza CCM na kuipa nguvu UKAWA

    kamanda njoo vicent nyerere njoo na simiyu uweke mambo sawa maana 2015 majimbo yote yanakuja cdm
  7. KIDULYA-IMALILO

    JamiiForums Tanzania Siri ya Kikao cha Diallo na Deus Mallya chavuja movie ya Kifo cha Chacha Wangwe

    Diallo amekwisha asiwadanganye watu mwambieni aende kwao meatu pale luguru lo mbuga (lubiga)akampe huyo deus mallya powertila awe anaendesha maana wabunge anawaua kwa maslahi ya magamba
  8. KIDULYA-IMALILO

    JamiiForums Tanzania Matumaini Ya Kuiondoa CCM 2015 yanazidi Kupotea

    kwa kweli wasukuma bado sana ila wanahitaji elimu ya uraia kanda ya ziwa yote na 2015 napeleka jeshi la ukombozi kwa wasukuma wa nkololo dutwa kanadi itilima na ntuzu kwenda kuteketeza masalia ya ccm kama vile ndugu ngalyabuyenze na seni, njalu silanga na jopo lake lakini naamini wasukuma...
  9. KIDULYA-IMALILO

    JamiiForums Tanzania Matumaini Ya Kuiondoa CCM 2015 yanazidi Kupotea

    ukichanganyikiwa huwezi jua kama uko matokeo yake wale ambao hawako hivyo utawaona kama wamechanganyikiwa lkn sivyo ni ww ccm ipo cku watachia ngazi kwa uwezo wake mwenyezi mungu
  10. KIDULYA-IMALILO

    JamiiForums Tanzania Matumaini Ya Kuiondoa CCM 2015 yanazidi Kupotea

    Tena mleta mada amechanganyikiwa cio kama ni mzima wa akili.
  11. KIDULYA-IMALILO

    JamiiForums Tanzania Urusi yajibu mapigo, yapiga marufuku uingizaji wa vyakula toka magharibi

    thanks very much putin komesha hao mbwa wa magharibi kama chakula kipo hata africa utapata viazi,mtama na mchicha
  12. KIDULYA-IMALILO

    JamiiForums Tanzania Leticia Nyerere, John Shibuda (CHADEMA) wajisajili katika Bunge Maalum la Katiba

    huyu mbunge hafai kuwa mwanachama cdm maana mwenendo wake cio kutetea mageuzi ni njaa ya posho
Back
Top Bottom