The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,264
Post deleted by author!
'Kupote' ndiyo nini? Amini imani yako;waache wengine waamini vingine
Mwaka 2010 Watanzania Wengi Tulianza Kujipa Moyo Sasa Ni Muda Wa Kuondoka CCM Madarakani, Kutokana Na Mhamko Wa Wakati Huo Hasa CHADEMA NA MGOMBEA WAKE WA URAIS DR Slaa Walipotikisa Ngome Za CCM. Wengi Tuliamka Kutoka Usingizini. Lakini Sasa Matumaini Yameanza Kupotea Na Uwezokano Wa CCM Kurudi Madalakani Sasa Ni Mkubwa, Hii Ni Kutokana Na Vyama Vyetu Vya Upinzani Kwa Sasa Havieleweki. Kwangu Mimi UKAWA Sina Hakika Kama Itadumu Mpaka Mwakani Kwani Upepo Umeanza Kuonyesha Hivyo. KUTOKANA NA MAZINGIRA YANAVYOONYESHA NA HALI YA SIASA ILIVYO CCM MWAKANI LAZIMA WASHINDE KWA HILO NASIKITIKA KAMA MWANAMABADILIKO. HUO NDIO UKWELI AMBAO HATUTAKI KUUSEMA.
Mleta mada unaumwa fis.tula ya ubongo.
CCM haiwezi kutoka madarakani leo, kesho wala keshokutwa, wala hakuna sababu ya CCM kutoka madarakani.
Matumaini ya kuing'oa CCM madarakani yanazidi kupungua kwakuwa CCM wamewapatia Wananchi MAISHA BORA waliyowaahidi au? Maji, Umeme, Barabara, Elimu bora vyote vimeboreshwa vinapatikana ndani ya CCM? Wafanyakazi wanalipwa mishahara minono ama hadaa inaendelea kwao? CCM wame review Mikataba ya Kifisadi waliyoingia Kwenye Madini, na sekta ya nishati? Wanyama wetu wameacha kuuawa na kusafirishwa hovyo? ... CCM wameacha mauaji kwa raia wasiokuwa na hatia kwenye maeneo yenye migodi ya dhahabu?.... Thamani ya shilling imeimarika uchumi umekua?... CCM wananini cha kuwaambia Watanzania baada ya miaka 55 ya uhuru? ... Billion 400 za Ufisadi wa IPTL? Trillions za USwiss? .... Please achene dhihaka kwa Watanzania... watu wanashida, maisha ni magumu kuliko mnavyofikiri na kujamba humu jamvini ...
mkuu acha unafiki chukua themometer au joto.read pima nguvu ya chadema kisiasa 2010 na sasa kuelekea 2015.
unaota! Tumbua jipu upate usingiziMkuu wewe ulikua umejiandaa kuona ccm inatoka mwakan kwa taarifa yako ccm itasherekea miaka 100 ya kutawala
CCM haiwezi kutoka madarakani leo, kesho wala keshokutwa, wala hakuna sababu ya CCM kutoka madarakani.
basi we umevurugwa!Tena mleta mada amechanganyikiwa cio kama ni mzima wa akili.