Recent content by Kidubwana

  1. Kidubwana

    Wanawake msifanye mapenzi yote, kumbukeni kuwaachia na waume zenu watarajiwa

    Hao wanawake used a.k.a mtumba nao wana soko lao. Ni kama nguo sokoni. Kuna mpya na mtumba, na kila furushi linawateja kibao. Jiulize, wanaume wangekuwa wanapata ujauzito kama wanawake ungekuwa ushazaa wangapi? Maumbile ya mwanamke yanamfunga sana ndio maana jamii inawaona kama viumbe ambao...
  2. Kidubwana

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    Weeeeeeeh Numbisa wapi wewee!! You have made my day[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  3. Kidubwana

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    Hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23]
  4. Kidubwana

    Wadada wa mjini kusagana imekua 'fashion'

    Mmmmh...kila mtu agange yakwake.[emoji126] [emoji125]
  5. Kidubwana

    Kuepusha maumivu nimeamua nami sasa niwe mhuni na malaya tu...

    Kaka... Usilazimishie tabia amabzo sio za kwako. Utajuta zaidiii. Tulia kaka, hao unaowapata pengine si wa ubavu wako. Siku ukipata wa ubavu wako uatelewa namaanisha nini. Lakin pia angalia na aina ya wanawake unaowatongoza. Anagalia tabia na sio *sura*. Kinachijenga mahusianao na ndoa ni tabia...
  6. Kidubwana

    Mrejesho: Mke mwenye wivu, nawashukuru wana JF kwa msaada wenu

    Kama ameridhia kuondoka, hapo amekuchoka. Ila sula la kumwambia aondoke bado si suluisho poa. Bora myaongee kaka. Kama hamsikilizani basi weka upande wa pili ambao ni wazazi au ndugu au wazee.
  7. Kidubwana

    Mrejesho: Mke mwenye wivu, nawashukuru wana JF kwa msaada wenu

    'Kumpenda mtu ni hatarishi' yaani 'taking a risk'. Pale unapopenda hadi mmnafanya maamuzi ya ndoa unakuwa umeamua kuchukua maisha hatarishi yaani ''risky life' Hii ina maana kwamba chochote kinaweza tokea na lazima ukubali maana ni maiaha ya mapenzi amabayo ni risky. Sasa kwa suala lako...
  8. Kidubwana

    Nimempa mimba mke wa mtu lakini mumewe yuko mbali kikazi

    Rekebisha kiswahili hapa: Mkuu *huwezi kumpa mimba mwanamke*, ila anapata ujauzito. Unaposema hivyo inamaanisha kua wewe unauwezo wa kubeba huo ujauzoto lakini ukampatie yeye aubebe. Na kibaiolojia, wewe hutoi mimba, ila uantoa mbegu. Yeye ana mayai, kwa pamoja ndio vinategeneza mtoto.
  9. Kidubwana

    Leo nimekubali kweli maishani hatulingani

    Kaaah. Pambana na hali yako. Siku zote binadamu huwa tunaridhika kabala hatujaona cha juu yetu. Ukishakiona ndio unajua kua hali yako bado iko chiniii
Back
Top Bottom