Uko Germany, usikute Dawa inauzwa $ 100 tu then unakuja kupiga kelele hapa....!
Unataka hata sample ya Dawa ya Kienyeji, sample itatibu Nini...!? Kama sio mnataka kuingiza Maabara huo mchanganyiko kujua umehusisha Nini na Nini!
Kubari pesa ikutoke usimamie hii deal, inaweza kukulipa baadaye...
Kwa hiyo hakuwa na kitu tofauti Cha kuongea....!?
Coz hata ningekua Mimi katika nafasi yake nisingeweza kumringanisha Nyerere na Kiongozi yoyote yule ama aliyekufa ama aliye hai ama atayekuja huko mbele.....!
Hawa Viongozi wa Sasa wangekua kwenye Nafasi ya Nyerere, wengi wao wasinge...
Binafsi nafahamu Nguvu ya Albadiri, nimekulia Uswahili, Kuna miaka ya Nyuma sehemu nilipokulia kulikua na Tajiri mmoja alikua akimiriki Canter kadhaa za Mchanga, miongoni wa Madereva wa Gari yake mmoja kulikua na Mzee mmoja akitoka mtaani kwangu kabisa.
Yule Mzee alikua akipaki gari maeneo...
Kwani hukumsikia siku ile anasema Simu Moja tu.....!!!?
Kuna deal flani Mimi najua Bi. Mkubwa alikua anafanya, wakati akiwa no. 2..... Siku alipochukua Kiti, nikasema kharas....!!!!
Mimi nazungumzia uhaisia tu....!
Tunafahamu Watoto wanaokufa Kwa njaa wanavyokua, ilitokea Kenya, Somali, Sudan n.k
Ila nimeangaia hii picha iliyowekwa kwenye huu Uzi, Sijaona mtoto aliyekufa Kwa Njaa, ndiyo sababu nikaweka picha za Watoto waliokufa Kwa njaa Africa, na picha zao sio Siri zipo...
Huyo Mtoto ndiyo unasema amekufa Kwa njaa....!?
Kufa Kwa njaa unakujua ama unakusikia...!
Umeingia kwenye Propaganda za Hamas, Dunia inajua Hamas inafanya Maigizo ndiyo maana ipo kimya.
Kama hujui Watoto wanaokufa Kwa njaa ngoja nikuwekee Picha hafu linganisha na Picha za Watoto wa Gaza.
CCM imeandaa hivyo Vyama Kwa ajiri ya Hilo, kipindi hiki ndiyo hivyo Vyama vinapiga pesa Toka CCM.
Hivyo Vyama hata hata visipofanya Uchaguzi wa ndani hakuna tatizo Uchaguzi Mkuu ukifika Vitashiriki Uchaguzi bila kelele Toka Tume.
CCM inamuiga Shetani jinsi anavyofanya mambo yake, Machoni inaonekana Ina malengo.... Nyuma ya Pazia sasa..... Ni Mungu tu anajua.
Na Mazuzu ni wengi nchi hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.