Mi sijaelewa hata ulichoandika ila nahisi tu mchango wangu ni kwamba tatizo utakua umesoma sana na umesahau humu tupo walalahoi tu ambao tumeishia la saba. Kwa kiingereza hiki utakua single milele.
Habari zenu,
Kuna nyumba nimepanga maeneo ya kino tunaishi wapangaji sita wote wasela na mtoto wa mwenye nyumba wa saba amepewa chumba cha kuishi. Bahati mwenye nyumba hakai hapo.
Kuna dada tunaishi nae amekua na tabia za kisagaji. Bahati nzuri ana mwanaume ambaye ni mstaarabu sana na mfanya...
Nilimpenda sana nilimtunza kama almasi. Aliponikosea sikutaka kuuliza ila kukaa kimya sikupenda kumuudhi. Alipohitaji msaada nilikua karibu nae wala sikujali usaliti wake na siku zote niliamini ipo siku atabadilika na ndoto zangu za kuwa mume wake siku moja zitatimia.
Bahati mbaya nafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.