wa2 wa da 2nakula fyngus za ng"ombe {makongoro",,,,pamoja na vichwa vyake na utumbo]....vichwa vya meee!! na miguu na utumbo,vichwa vyakuku,na utmbo wake!!!,,,,,,miguu ya kuku,,,bandamm na mapupu yake,,,bila kusahau mapumbu yambuzi na ng"ombe!!!
wanateseka sana kwa kujitakia,wanauza ndizi,migogo mibichi n karanga mabarabarani wengine wanagongwa n bodaboda katika harakati zao hizo,,wengine wnaamka alfajir kwenda minadani kutafuta makongoro au miguu ya nguruewe,,,,,,yaani MUNGU alisema,mwanaume atatafuta kwa jasho na mwanamke atazaa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.