Recent content by KIDO123

  1. K

    JamiiForums Tanzania Yesu hakua na uwezo wa kupaa

    Wadau wa JF kila nikisoma biblia sioni hule uzito wa utukufu anaopewa Yesu kuwa ni Mungu, mazungumzo yake mengi anarejea kwa kumtaja baba yake ambaye ni baba yetu, mungu wake mungu wetu pia, ata ile siku yakupaa inaonesha alichukuliwa hakuwa na uwezo wa kupaa mwenyewe.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Nchi zinazoongozwa Kidini au Dini inanguvu ya ushawishi

    Ila ukristo hauna sheria
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kwa muda mrefu sasa Naota sana kurudishwa kurudi shule, kama leo nimeota nachapwa parade

    Hiyo ndoto inakuambia oa acha utoto
  4. K

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Yesu hakuoa wala kuwa na mchumba miaka yote hiyo?

    Yesu alikua masikini hana chakula hana pakulala mzururaji tu
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kipi Kiswahili fasaha, kwa majina au kwa jina?

    Wadau kuna maneno yanatatiza , Ukifuatilia vyombo vya habari siku hizi kwenye mahojiano, au popote pale kwenye maisha ya kila siku, pindi mtu anapopewa fursa ajitambulishe utasikia anaanza kusema kwamajina naitwa fulani bin fulani, Swali langu kwa wajuvi ipi sahihi kati ya KWAMAJINA AU KWAJINA...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Wadau hebu njooni tushauriane

    Nahisi kioo ndio tatizo
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili

    Mbona papa karuhusu usho.. .
  8. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba

    Nina miaka 32 natafuta mwanamke tufunge ndoa awe muislam umri 19/25 kabila lolote lile
  9. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu. Haya ni maisha yangu

    Ni majina au jina
  10. K

    JamiiForums Tanzania Bunge la Iraq lajadili mpango wa kuruhusu ndoa za utotoni, kushusha umri wa mabinti kuolewa hadi miaka 9

    Msifananishe na vitoto vyenu vya kiafrika vimedumaa
  11. K

    JamiiForums Tanzania Wabantu hawana R

    Asalam aleykum Kama kichwa hapo juu kinavyo jieleza makabila mengi ya kibantu katika utamkaji wao wa maneno huwa hawatamki r. na kiswahili kina msingi wa kibantu watu wengi hawaji hili na wamekuwa wakilaumiwa na kusemwa hasa watu wa daresalaam kuwa hawajui kutofautisha kati ya r na l...
Back
Top Bottom