Recent content by KIDO123

  1. K

    Yesu hakua na uwezo wa kupaa

    Wadau wa JF kila nikisoma biblia sioni hule uzito wa utukufu anaopewa Yesu kuwa ni Mungu, mazungumzo yake mengi anarejea kwa kumtaja baba yake ambaye ni baba yetu, mungu wake mungu wetu pia, ata ile siku yakupaa inaonesha alichukuliwa hakuwa na uwezo wa kupaa mwenyewe.
  2. K

    Hivi kwanini Yesu hakuoa wala kuwa na mchumba miaka yote hiyo?

    Yesu alikua masikini hana chakula hana pakulala mzururaji tu
  3. K

    Kipi Kiswahili fasaha, kwa majina au kwa jina?

    Wadau kuna maneno yanatatiza , Ukifuatilia vyombo vya habari siku hizi kwenye mahojiano, au popote pale kwenye maisha ya kila siku, pindi mtu anapopewa fursa ajitambulishe utasikia anaanza kusema kwamajina naitwa fulani bin fulani, Swali langu kwa wajuvi ipi sahihi kati ya KWAMAJINA AU KWAJINA...
  4. K

    Wadau hebu njooni tushauriane

    Nahisi kioo ndio tatizo
  5. K

    Natafuta mchumba

    Nina miaka 32 natafuta mwanamke tufunge ndoa awe muislam umri 19/25 kabila lolote lile
  6. K

    Ukweli mchungu. Haya ni maisha yangu

    Ni majina au jina
  7. K

    Wabantu hawana R

    Asalam aleykum Kama kichwa hapo juu kinavyo jieleza makabila mengi ya kibantu katika utamkaji wao wa maneno huwa hawatamki r. na kiswahili kina msingi wa kibantu watu wengi hawaji hili na wamekuwa wakilaumiwa na kusemwa hasa watu wa daresalaam kuwa hawajui kutofautisha kati ya r na l...
Back
Top Bottom