Recent content by Kidamabi

  1. Kidamabi

    Nani zaidi kati ya Flamme Kapaya au Kimbangu Solo kwenye kupiga solo guitar?

    Kwa wapenzi wa muziki na wenye masikio thabiti kwenye muziki (vyombo) kumekuwa na ubishi mrefu juu ya nani zaidi ya wapiga solo guitar kati Flamme Kapaya na Kimbangu Solo. Je, wewe ambae umebahatika kuwaona, kuwasikia wakicharaza nyuzi hawa wataalamu wawili, ni yupi amekukonga nyoyo vilivyo?
  2. Kidamabi

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Sana yaani kama vile wororo yayeee
  3. Kidamabi

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Tena huku ukitoa macho?
  4. Kidamabi

    Kwa anayeuza pikipiki aina ya ADV 160 ABS tuwasiliane tafadhali

    Una picha hapo utume nione, isije kuwa najidanganya ni Honda (chuma) kumbe ni honda asilia ya miguu minne (4)😎
  5. Kidamabi

    Kwa anayeuza pikipiki aina ya ADV 160 ABS tuwasiliane tafadhali

    Huwa unatengeneza mwenyewe mkuu?
  6. Kidamabi

    Kwa anayeuza pikipiki aina ya ADV 160 ABS tuwasiliane tafadhali

    Nmekafuatilia kwa muda sasa...nmetokea kuvutiwa sana na features zake. Na nmemuona kwa macho mdogo wake (ADV150). Jamaa wako vizuri.
  7. Kidamabi

    Kwa anayeuza pikipiki aina ya ADV 160 ABS tuwasiliane tafadhali

    Wenyewe wanasema ni Adv-enture. Thailand, Indonesia, Phillipiness wanazitumia sana hata sehemu za milima...nadhani kwa mijini na service kwa wakati unaishi nayo kwa muda mrefu. Kapo ki-sport zaidi, kwenye boot unaweza tupia ki-bag na vitu vidogo vidogo
  8. Kidamabi

    Kwa anayeuza pikipiki aina ya ADV 160 ABS tuwasiliane tafadhali

    Hii 600k ni $ au Tshs?😄😄😄
  9. Kidamabi

    Kwa anayeuza pikipiki aina ya ADV 160 ABS tuwasiliane tafadhali

    📌 Faida kuu za ABS kwenye ADV160: 1. Usalama wakati wa emergency braking ABS inazuia matairi kufunga (lock) wakati unakanyaga breki ghafla. Hii inakusaidia kubaki na control ya pikipiki badala ya kuteleza. 2. Stability kwenye barabara mbovu au zenye mvua Kwa mvua au mchanga, bila ABS tairi...
  10. Kidamabi

    Kwa anayeuza pikipiki aina ya ADV 160 ABS tuwasiliane tafadhali

    Hii si sawa na Vespa mkuu, hii ni Honda ADV160...dukani Indonesia unaipata kwa 6.14M...mpaka inakufika hapa Bongo sijui...ndio maana nikaomba kama kuna dealer wa hizi chuma
  11. Kidamabi

    Kwa anayeuza pikipiki aina ya ADV 160 ABS tuwasiliane tafadhali

    Kama yupo dealer wa hizi chuma kutoka bara la Asia, ajitokeze. Siku mfuko wangu ukituna aniletee ya KUMENYA mimi mwenyewe. Bei isizidi 11M
Back
Top Bottom