Recent content by Kidabwenge

  1. Kidabwenge

    PostGE2025 Unafiki wa Wazanzibari: Fatma Karume kimyaaa!

    Nunueni tu ugomvi usio wahusu haya tutaona mwisho wake
  2. Kidabwenge

    Kwa unyama wa Oktoba 29, sijui wala kuamini kuwa polisi wetu ni binadamu kama sisi

    Polisi mnawaonea Bure wao wanapokea amri kwa kuwa jeshi amri upokelewa na kutekelezwa
  3. Kidabwenge

    Maandamano au vurugu?

    Asili yetu watanzania ni unafki Mwizi na kibaka wakiiba mtaani wanawauwa kikatiri sana ila kwenye wizi na uporaji wa tarehe 29 wanaona sawa kilichotendeka. Ibaki kuwa pol walikosea pia raia walikosea Kilichobaki kama wa tz kusameheana na kusonga mbele Mungu ndo mtoa hukumu kwenye hili...
  4. Kidabwenge

    Inashangaza ki ukweli kilekinachoendelea kariakoo

    Leo nimeangalia karibia misiba yote ya kwenye gorofa na mengineyo nivilio tu Kwa wakinamama swali langu ni hili nafasi ya mwanaume mbona inafichwa kwani hao wanawake walijizalisha wenyewe hao watoto. Yani baba ahojiwi ni wanawake tu mbona inatumika nguvu kubwa kufichwa mwanaume Kwa watoto wake...
  5. Kidabwenge

    Jamani, tuwe wakweli: Hali ni mbaya siyo kwenye Ndoa pekee bali hata Mahusiano mengine

    Kumetokea nini kwenye jamii ya Sasa mbona kila sehemu NDOA zimekuwa shubili Yani amani hakuna furaha ya MAHUSIANO hakuna tabu tupu shida ni nini?
  6. Kidabwenge

    Hapa Joyce ni yupi na Kilia ni yupi? CONFUSED

    Ilo ni shoga la mda mrefu linajificha kwenye mgongo wa mume wa Joyce Alafu eti wanajadili mambo ya gender kwenye kipindi chao dah full kuwakandia wanaume wanakera kingese yani.
  7. Kidabwenge

    Kumekuwa na wimbi la wanawake wengi kutokujua kupika wakuu nn chanzo mana inakera

    JANGA JIPYA LA WANAWAKE WENGI KUTOKUJUA KUPIKA NN CHANZO!
  8. Kidabwenge

    Familia nyingine ni za ajabu sana

    We jamaa ni genius dahhh umejuaje
  9. Kidabwenge

    Jeshi la Polisi: Ukipewa dhamana polisi kutoka ni bure usitoe pesa

    Katika makamanda wanafki pamoja na huyu ye mwenyewe ukute aliwekwa hapo Kwa kutoa rushwa shupid hamna kitu hapo
  10. Kidabwenge

    Ndoa matatani, mke kuhama bila mumewe kufahamu ni sawa?

    Vp anakichwa kidogo? sababu hizo ni tabia za wanawake wenye vichwa vidogo 😂😂 ila pole sana mwamba ndio maisha hayo.
Back
Top Bottom