Hongera sana kaka, ni competitive kiasi chake, jaribu search kwenye mtandao au youtube, utakutana na jamaa walipata au walifanya, itakusaidia. All the best
Nenda Auto mkuu, hio geo infor, ni kams tools to, utapatwa na tabu ya ajira, namaanisha wengi wanaitumia na kufanya wawepo wengi sana. Njoo inbox
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale kuna dogo anaitwa amani, ukienda kuulizia leseni unawekewa mazingira ya rushwa..huyo dogo na mabosi wake wanafikaratasi wanakupa ili uwasilianae nao kwaajilu ya kuwaponza. Ukiwapigia simu unaambiwa leseni zinatoka muda wowote, ina maana umetengenezwa upigaji fulani hapo Millenium tower..TRA...
Tatizo kubwa waandishi wetu hawaandiki habari kwa research, leo unakuta mtu anaandika michezo kesho siasa, hana ubobezi wowote. Hii thread inapotosha sana sijui ametumia wikipedia. Kaka pesa wanazodai acacia ni malimbikizo kwa miaka ya nyuma tokea waanze kutoa mchanga nje ya nchi, mimi kwa...
Ex DG wa usalama anaheshikimika sana kama The late Dr. Lawrance Gama, hawa walitoka Jeshini japo na yule coronel Apson naye alitoka huko, hao wanaheshimika sana pale Makumbusho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.