Recent content by kichupa

  1. K

    Kiwanja bomba mbili Dar es Salaam

    Mmmh ngoja
  2. K

    Nauza line ya M-Pesa

    Hakika naiuza
  3. K

    Nauza line ya M-Pesa

    mi nauza 160000/-tu nipo dar fanya kunipm kama unahitaji
  4. K

    Nini maana ya kichupa?

    video mkuu
  5. K

    Eti elfu kumi inamuuma. Kaongea na vodacom customer care

    Umekula hela yangu utanibeba leo,siondoki peke yangu utanibeba leo ni hayo tu
  6. K

    Jipatie King'amuzi Cha dstv na internet bure bila malipo yeyote ya mwaka

    kuna siku hapa nilisoma umeandika watu wote uliowauzia unataarifa zao haya warudishie pesa zao kwanza
  7. K

    Msaada ajira yeyote halali

    ndugu yangu mimi mwenyewe nataka kwenda sana law school lakini tatizo hali yangu ndo maana nataka nijikusanye ili niende
  8. K

    Msaada ajira yeyote halali

    nalitambua hilo mungu akijalia nitaenda,asante kwa ushauri
  9. K

    Msaada ajira yeyote halali

    ndugu yangu unasema usilo lijua kila mtu hapa duniani anadestiny yake ambayo katika hali ya kawaida itafika muda ukifika na katika dunia hii na kwenye jamii yetu tunayaona sana haya,mungu sio mbaguzi kama sisi wanadamu ninaamini haya nimapito tu
  10. K

    Msaada ajira yeyote halali

    na nina imani hiyo najua wakati ukifika kila kitu kitakuwa kawaida asante kwa mchango wako ndugu
  11. K

    Msaada ajira yeyote halali

    hujui usemalo
  12. K

    Msaada ajira yeyote halali

    Nashukuru wote kwa mawazo yenu nyote kwa michango yenu mizuri sana yakutia moyo ila nimesikitishwa sana na baadhi ya ndugu zetu hapa jamiiforum wanaona tangazo lako anakuja pm/wazi anasema anakusaidia anakuomba namba unampatia alafu anakaa kinywa,unampigia simu hapokei mwingine anakwambia umpm...
  13. K

    Msaada ajira yeyote halali

    ndg huko pote nimepita na bado mambo magumu sana kwa upande wangu
Back
Top Bottom