ndugu yangu unasema usilo lijua kila mtu hapa duniani anadestiny yake ambayo katika hali ya kawaida itafika muda ukifika na katika dunia hii na kwenye jamii yetu tunayaona sana haya,mungu sio mbaguzi kama sisi wanadamu ninaamini haya nimapito tu
Nashukuru wote kwa mawazo yenu nyote kwa michango yenu mizuri sana yakutia moyo ila nimesikitishwa sana na baadhi ya ndugu zetu hapa jamiiforum wanaona tangazo lako anakuja pm/wazi anasema anakusaidia anakuomba namba unampatia alafu anakaa kinywa,unampigia simu hapokei mwingine anakwambia umpm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.