Msaada ajira yeyote halali

Msaada ajira yeyote halali

ungepata div 1 au 2 ungeenda ualimu weweeee! uctudanganye hapa. mnspyuuuuuu!!!!!

mm sio mwalimu mkuu ila hii dhana kusema walimu ni taaluma ya waliofeli ina maana hao waliopanga hizo grade walifeli kuzipanga au wote waliosomea ualimu wana FFFFFFFF ordinary level na wana FFFF advance level kwangu huyu mm ndio kafail unless ni majungu tuu unaongea hapa kwa hiyo aliesoma sheria ndio kapata one kali tu ...unajua principal za wanaosoma sheria kwenye hivi vyuo ..SAUT,TUMAINI ,RUCO na mwalimu anaesoma Udsm duce na mkwawa....wacha kuropoka kwamba kila anaesoma ualimu kafail nisawa wana wanaufaulu wa grade chini ila wana vigezo vya kuusomea huo ualimu wao na laiti ungalijua hao wanaosoma sheria hasa katika kipindi hiki si tumewaona law school,unajua tatizo la mfumo wa elimu ndio maana huyu kamaliza sheria lakini hawezi kuoffer chochote nje ya kuajiriwa na taaluma yake inamruhusu kufikiri nje ya kuajiriwa.
 
kichupa wewe nenda law school ukafundishwe pale procedure za kuitumia hiyo taaluma yako ujitahidi ufaulu then itakuwa rahisi kuitumia hiyo taaluma yako .
 
kichupa wewe nenda law school ukafundishwe pale procedure za kuitumia hiyo taaluma yako ujitahidi ufaulu then itakuwa rahisi kuitumia hiyo taaluma yako .

ndugu yangu mimi mwenyewe nataka kwenda sana law school lakini tatizo hali yangu ndo maana nataka nijikusanye ili niende
 
Mkuu kwanza I can see umeanza kukata tamaa nikisoma sentensi zako tu kwa kina....hapo ndio unapokosea!!!
Me nachokushauri anza kampeni upya zaliwa upya jenga moyo wa kuzitafuta hizo ajira upya.....
Pitia makampuni ya sheria mguu kwa mguu peleka c.v yako omba hata ku volunteer...pitia makampuni makubwa kule kuna malegal officer omba kazi omba kujitolea....usikate tamaa mapema weka juhudi na muombe Mungu wako na atakusaidia....


Ajira ni ngumu sawa ila nasi tumekua wagumu katika mbinu wa kuzisaka hzo ajira....
 
mm sio mwalimu mkuu ila hii dhana kusema walimu ni taaluma ya waliofeli ina maana hao waliopanga hizo grade walifeli kuzipanga au wote waliosomea ualimu wana FFFFFFFF ordinary level na wana FFFF advance level kwangu huyu mm ndio kafail unless ni majungu tuu unaongea hapa kwa hiyo aliesoma sheria ndio kapata one kali tu ...unajua principal za wanaosoma sheria kwenye hivi vyuo ..SAUT,TUMAINI ,RUCO na mwalimu anaesoma Udsm duce na mkwawa....wacha kuropoka kwamba kila anaesoma ualimu kafail nisawa wana wanaufaulu wa grade chini ila wana vigezo vya kuusomea huo ualimu wao na laiti ungalijua hao wanaosoma sheria hasa katika kipindi hiki si tumewaona law school,unajua tatizo la mfumo wa elimu ndio maana huyu kamaliza sheria lakini hawezi kuoffer chochote nje ya kuajiriwa na taaluma yake inamruhusu kufikiri nje ya kuajiriwa.

mijitu mingine migumu kuelewa jiwe linaafadhali. mbona sijazungumza walimu wamefeli au macho yako yanamatege. nimemuuliza kuhusu I NA II basi.
 
Tupa kule zile kazi za uarabuni yule mbunge anae watafutia watu hapo mujini.......JARIBU TEMBELEA HAPA CAREER EXPO wana kamradi kao (AJIRA KWA VIJANA) poa sana kanasaidia watu pata ajira pasi na uzoefu wowotee....nalikuwa mmoja wao kufanikisha hili zoezi...kwa mwaka jana, pia chek naTAYOA hawa jamaa hunifurahisha yani hawanaga longo longo wanascan toka magezetini na kupost kwa online....advert kama ilivyo.
Kila lenye heri mkuu ukifanikiwa usitusahau uje shududia na kutoa shukrani kwa wana JF kuthiibitisha ya kwamba michango yao inafanya kazi kwa uzuri kabisa tena free of charge.
 
Tupa kule zile kazi za uarabuni yule mbunge anae watafutia watu hapo mujini.......JARIBU TEMBELEA HAPA CAREER EXPO wana kamradi kao (AJIRA KWA VIJANA) poa sana kanasaidia watu pata ajira pasi na uzoefu wowotee....nalikuwa mmoja wao kufanikisha hili zoezi...kwa mwaka jana, pia chek naTAYOA hawa jamaa hunifurahisha yani hawanaga longo longo wanascan toka magezetini na kupost kwa online....advert kama ilivyo.
Kila lenye heri mkuu ukifanikiwa usitusahau uje shududia na kutoa shukrani kwa wana JF kuthiibitisha ya kwamba michango yao inafanya kazi kwa uzuri kabisa tena free of charge.

tuwapate wapi wenye akili kama wewe?
 
Back
Top Bottom