Ndege inapita kwenye usawa wowote inategemea na stage iliyopo. Kuna wakat inapata na wakat wa kutua pia. Pia Luna ndege zinaruka urefu mfupi kama zile zinazotumika kwenye kilimo etc.
Binafsi kwenye malezi yangu kuna maneno yalikuwa yananiumiza mno kila ninapoambiwa na hiyo ilinifanya nisiwe karibu sana na mzazi wangu mmoja. Nilisema nikiwa na mtoto/watoto sitawaambia maneno ya kuumiza but as a human being kuna muda najisahau au hasira sijui naweza toa neno nikajua hili...
mwaka huu yani naona unachelewa tu kuisha, majanga juu ya majanga, sikutegemea kama ningeweza hata kucheka tena. all in all Mungu wetu ni wa neema. nasubiri 2016 inshallah naamini utakuwa wa kufuta yote yaliyonitoa furaha mwaka huu.
Siyo lazima, mimi sijawahi kuiona hiyo damu siku ya kwanza hadi leo hii.
na sijakulia kijijini, nimekulia makuzi ya kawaida tu. sina sababu ya kusema uongo ila kwa kuwa imenikuta nimeamini, ila kwa wanaume kuamini ni shida
huu ushauri wako akiufatilia utamsaidia sana.
case kama hiyo iliikuta familia yetu ikabidi kaka yangu atengeneze bima haraka.
maana mgonjwa wetu alikuwa anafanyiwa mara tatu kwa wiki, jumla ya gharama ni kama 1million haikuwa rahisi, mnakabana hadi senti ya mwisho.
jitahidi mkuu mama apate bima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.